sweetlee
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 4,050
- 14,770
Nishapaki begi lakoNahamaje Mdogo wangu. [emoji23][emoji23][emoji23] nipo kwa waarabu mwanzo mwisho. [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishapaki begi lakoNahamaje Mdogo wangu. [emoji23][emoji23][emoji23] nipo kwa waarabu mwanzo mwisho. [emoji23][emoji23]
Akuuuu
Mambo yakiwa mengi nazimaga data
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wouzeeeerrr [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ndio unaingia mama
Mungu atatusaidia mpenziYaani natamani kocha apaki bus walinde tu goal[emoji3]
Kabisaaaaa. Kikipigwa kipyenga cha mwishi ndio tunakubali matokeoWaarabu hatuna utamaduni wa kukata tamaa.
HatujakataaaMpira ni dk 90
Na cha ajabu hata sijui kuchoka kunakaa wapi. 😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mm sitii neno huyo simba mwenzangu
Sina longolongo,subiri mpira uisheMh
Umeshaanza longolongo zako kuwasiliana na T ndio nn
NakaziaHii mechi ishaisha, bado goli la Kagere na la Chama.
😀😀😀 kama nakuona vileee. 😀😀😀Kwani kuna habari gani huko..Hapa kwetu Kiembesamaki Network hakuna
This Is Simba...SimbaNguvuMoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Na cha ajabu hata sijui kuchoka kunakaa wapi. [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahhaha umekaribia mda mzuri sana
Thubutuuuuu, siwezi kuwa timu moja na kichwa maji Manara mimi.
Mimi na Waarabu damdam, zaidi nawasubiri Al Ahly kwa hamu [emoji39].
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mh unajua mm mtu mzima