Klabu Bingwa Afrika: Yanga yafuzu kuingia hatua inayofuata baada ya kutoka sare ya 1-1 na St Louis

Klabu Bingwa Afrika: Yanga yafuzu kuingia hatua inayofuata baada ya kutoka sare ya 1-1 na St Louis

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,286
Reaction score
6,736
Ratiba inaonesha kuwa matangazo ya mechi yataanza saa 10.30 kwa saa
za Afrika mashariki Live ndani ya AZAM SPORT2. Kutokana na majira tuliyonayo
ya mvua na matatizo ya umeme huenda baadhi ya maeneo tusiione mechi hii
hivyo tukutane hapa ili kuwashuhudia mabingwa hao wa Tanzania kupitia update
za wadau. KILA LA HERI YOUNG AFRICAN SPORTS CLUB.

UPDATES

Yanga wamefanikiwa kufuzu kwa jumla ya magoli 2 - 1

Full Time:
St Louis 1 - Yanga 1

Goal
; St Louis wanasawazisha katika dakika ya 92

Dakika ya 90; zimeongezwa dakika 4

Dakika ya 85; Yanga bado wanaongoza kwa goli 1-0

Dakika ya 80; St Louis 0 - Yanga 1

Dakika ya 60; Yanga wanafanya mabadiliko anatoka Makapu anaingia Raphael Daud

Kipindi cha pili kimeanza

Halftime: St Louis 0 - Yanga 1

Goal; Ibrahim Ajib anaifungia Yanga goli katika dakika ya 45

Dakika ya 30; Bado ubao wa magoli unasomeka 0 - 0

Dakika ya 15 bado 0-0

Dakika ya 6; Yanga wanafanya shambulizi hapa , Tshishimbi anapiga kichwa ila kipa anaokoa

======

Wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika ([HASHTAG]#CAFCL[/HASHTAG]), Yanga wamesonga mbele katika mashindano hayo licha ya kutoa sare ya goli 1-1 na Saint Louis ya Shelisheli, kwa kuwa na ushindi wa jumla wa goli 2-1.
 
Na sisi tunayahitaji haya matokeo kweli kweli msituambie haya tuhusu.
 
Nawatakia ushindi watani zetu,wapeperushe bendera ya taifa vyema..Usimba na Uyanga ngoja niuweke pembeni.
 
Dar Young Africans ndiyo kitu gani!!!??? Kuna Young Africans Sports Club na siyo hicho kinachoitwa eti Dar Young Africans.....Je, Kuna Dar Simba Sports Club???
Sio lazima wote tuvute bangi, wengine bwieni unga.
 
Ratiba inaonesha kuwa matangazo ya mechi yataanza saa 10.30 kwa saa
za Afrika mashariki Live ndani ya AZAM SPORT2. Kutokana na majira tuliyonayo
ya mvua na matatizo ya umeme huenda baadhi ya maeneo tusiione mechi hii
hivyo tukutane hapa ili kuwashuhudia mabingwa hao wa Tanzania kupitia update
za wadau. KILA LA HERI YOUNG AFRICAN SPORTS CLUB.
MWENYEZI MUNGU IBARIKI YANGA AFRICA
 
Dar Young Africans ndiyo kitu gani!!!??? Kuna Young Africans Sports Club na siyo hicho kinachoitwa eti Dar Young Africans.....Je, Kuna Dar Simba Sports Club???
Pambana na Hali yako
 
Dar Young Africans ndiyo kitu gani!!!??? Kuna Young Africans Sports Club na siyo hicho kinachoitwa eti Dar Young Africans.....Je, Kuna Dar Simba Sports Club???
Yaani wala haileti maana. Waliingia kichwa kichwa kupokea hilo jina na huu ni Ukoloni Mambo Leo.

Dar Azam Sports Club... [emoji16]
 
Dar Young Africans ndiyo kitu gani!!!??? Kuna Young Africans Sports Club na siyo hicho kinachoitwa eti Dar Young Africans.....Je, Kuna Dar Simba Sports Club???
Acha povu.!
 
Back
Top Bottom