Klabu Bingwa Afrika: Yanga yafuzu kuingia hatua inayofuata baada ya kutoka sare ya 1-1 na St Louis

Klabu Bingwa Afrika: Yanga yafuzu kuingia hatua inayofuata baada ya kutoka sare ya 1-1 na St Louis

Dah umeme umekatika, mpk dk 62 yanga alikuwa anaongoza 1 gs Ajib.
 
St Louis 3 Yanga 1 dk ya 89
Acha unazi wa Simba wewe, kwa mpira ule ile timu haina uwezo kabisa wa kufunga bao tatu, na hata hivyo Yanga ni wajinga sana sana, kwa mechi ya leo walitakiwa kabla ya mapumziko wawe hata na bao 4 kwani mpira wote umekuwa upande wao kwa ujinga wao wanacheza kama hawataki kucheza, pasi za hovyo hovyo tu, hawana kasi ya mchezo, wanacheza mpira upande mmoja tu na wala hawapigi mashuti
 
Hili pipa la Yanga lina mkosi. Bora Kabwili aendelee kudaka
 
SIKU NIKIONA VIONGOZI WA SOKA WAKO SERIOUS KUSIMAMIA MPIRA BONGO NITAENDELEA NA UNAZI WANGU KWA YANGA.KWA SASA NGOJA NIWAACHIE.NILISHAUGUA VIDONDA VYA TUMBO KISA MPIRA.
 
Back
Top Bottom