Klabu Bingwa barani AfriKa kuendelea leo

Klabu Bingwa barani AfriKa kuendelea leo

Babumzee

Member
Joined
Feb 24, 2020
Posts
11
Reaction score
5
Klabu bingwa hatua ya Robo fainali kuendelea leo kwa michezo miwili Raja Casablanca atakuwa mwenyeji dhidi ya TP Mazembe mchezo utakaochezwa saa 22:00 usiku.

Mchezo mwingine ni mabingwa watetezi kwa kombe hili Esperance Tunis wao watakuwa wageni dhidi ya Zamalek hapo mjini Cairo game litakuwa mida ya. Saa 19:00 usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom