Babumzee
Member
- Feb 24, 2020
- 11
- 5
Klabu bingwa hatua ya Robo fainali kuendelea leo kwa michezo miwili Raja Casablanca atakuwa mwenyeji dhidi ya TP Mazembe mchezo utakaochezwa saa 22:00 usiku.
Mchezo mwingine ni mabingwa watetezi kwa kombe hili Esperance Tunis wao watakuwa wageni dhidi ya Zamalek hapo mjini Cairo game litakuwa mida ya. Saa 19:00 usiku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchezo mwingine ni mabingwa watetezi kwa kombe hili Esperance Tunis wao watakuwa wageni dhidi ya Zamalek hapo mjini Cairo game litakuwa mida ya. Saa 19:00 usiku.
Sent using Jamii Forums mobile app