Klabu Bingwa Barani Afrika: Waarabu Esperance na Wydad Casablanca watinga fainali

Mwarabu wa kwanza kafa 3-0 na wa pili kafa 1'0 hapa mkuu. Kwa simba mwarabu mwepesi kama kimsukuma mlevi

We jamaa cjui unawaza nini. Waarabu kabisa! Mamelodi na mazembe wameshindwa sembuse simba!hahaaa. Waarabu wataendelea kusumbua mpaka mwisho wa dunia.
 
We jamaa cjui unawaza nini. Waarabu kabisa! Mamelodi na mazembe wameshindwa sembuse simba!hahaaa. Waarabu wataendelea kusumbua mpaka mwisho wa dunia.
Nisikilize mimi mkuu. Mwarabu simba anampatia sana sijui kwanini. Na wenyew wanajua.
 
Mshahara wa million 8 mbona Simba wapo wanaopata
 
Waarabu wataendelea kutesa kama kawa...Mungu ndivyo alivyowapa kipaji...
 
kwanzia robo fainali ni game mbili tu moja ugenini na moja nyumbani. Hadi fainali ipo hivyo hivyo, sasa tupe rekodi ya Simba ikiwa ugenini. kafungwa tano na Al Ahyl ugenini . Je huyu bingwa mtetezi mngewezaje kumtoa?
Strategy zinakuwa tofauti wew. Wew unadhani ingekuwa mtoano simba angefungwa goli tano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…