Klabu Bingwa Dunia: Al Ahly yatota kwa Fluminense, yachapwa 2-0

Klabu Bingwa Dunia: Al Ahly yatota kwa Fluminense, yachapwa 2-0

Sidhani kama kuna foul labda wenzangu weja wanisaidie, issue ni kwamba marcelo yeye ndo alikuwa anamiliki mpira hivyo basi aliona kabisa percy anakuja kumkaba kwa nyuma kwahyo akatumia advantage hiyo ya kujiweke mbele ili akiguswa2 iwe faida kwake. NB siku hizi mchezaji akiwa kwenye box inabidi akabwe kama yai tofauti na miaka ya zamanii
Sababu ya Tau kuanguka ilitokana na Marcelo kuacha mpira na kucheza mwili wa Tau

Sababu ya Marcelo kuanguka ilikuwa ni kumhadaa mwamuzi sababu wakati wa tukio refa alikuwa nyuma hakuweza kuona vizuri kuwa ni trick Marcelo kaifanya.

Kinachokuja kuleta shida ni kutotaka kujiridhisha kwenye VAR
 
mbwaawalikimbizwaa hawaa wakahisi wanacheza na yangaaa....dk za mwishoo hawanaa hamuya kucheza
 
Kachezaje hiyo faulo?
Kachezaje? Kwani wewe macho yako Yana makengeza au? Kwamba huoni...?

Jamaa, Marcelo ni muhuni Tena sio kidogo anajua sana kucheza na akili za waamuzi na kuwadaa kwa tricks ndogo ndogo kuwin penalties.

Marcelo katumia ujuzi na akili pamoja na ushamba wa Percy Tau kwenye kuwin Ile penalty.... Ndio maana hujaona hata waamuzi wakiangaika na VAR kelele mmebaki nazo nyie tu mnaoangalia mpira kwa mihemko huku mkiwa na matokeo yenu mfukono

Watu kama wewe ndio Huwa mnaumizwa mpaka Leo na zile penalties walizokuwa wanapewa Argentina kwenye World Cup sababu ya kuangalia mpira kwa mihemko
 
Kachezaje? Kwani wewe macho yako Yana makengeza au? Kwamba huoni...?

Jamaa, Marcelo ni muhuni Tena sio kidogo anajua sana kucheza na akili za waamuzi na kuwadaa kwa tricks ndogo ndogo kuwin penalties.

Marcelo katumia ujuzi na akili pamoja na ushamba wa Percy Tau kwenye kuwin Ile penalty.... Ndio maana hujaona hata waamuzi wakiangaika na VAR kelele mmebaki nazo nyie tu mnaoangalia mpira kwa mihemko huku mkiwa na matokeo yenu mfukono

Watu kama wewe ndio Huwa mnaumizwa mpaka Leo na zile penalties walizokuwa wanapewa Argentina kwenye World Cup sababu ya kuangalia mpira kwa mihemko
Inawezekana uhuni wake umekuathiri hadi wewe umeshindwa kuona kama yeye ndio alicheza faulo
 
Back
Top Bottom