Klabu Bingwa Ulaya mzunguko wa 16 bora

Klabu Bingwa Ulaya mzunguko wa 16 bora

Nina uhakika Munich nao hii droo ya kukutana na livapool hawakuipenda.

Nina uhakika lfc akimtoa Bavaria anaenda kubeba ndoo.

Nina uhakika hii ndiyo fainali ya UEFA kati ya Lfc vs Munich.

Nina uhakika mashabiki wa manyau utd ndo wanaongoza kuomba liva atolewe.

Nina uhakika haters watahaMia timu nyingine kama liva akipita.

Nina uhakika game itakuwa ngumu sana pande zote mbili.

Note:Haters bakisheni maneno ya kuongea hii ni futbolli timu zote zipo kwenye fomu nzuri.
 
Draw imebalance, wote nguvu zinakaribiana uwezo isipokuwa United ni wamebebeshwa mzigo mzito.

Atletico vs juventus 50/50
Spurs vs BvB 50/50
Liverpool vs Bayern Munich 50/50
Fc Porto vs Roma nayo 50/50
Ajax vs Madrid 50/50
City, Barcelona, na PSG hao naona kuna 90% ya kwenda next round

Tukutane february.
 
Timu ambazo zimefanya mambo makubwa hadi sasa katika UEFA Champion League na League za nyumbani ni 1.Porto 2. Dotmund 3. Manchester City na 4. PSG na hivyo sitashaa mojawapo akifika Fainali au hata kuuchukua Ubingwa. Hata hivyo kuna Timu ambazo zilifuzu dakika za mwisho kabisa na kwa mkono wa Mungu kama Liverpool na Totternham nazo zinaweza kutia ngumu kutolewa katika hii round ili kuthibitisha kwamba hazikufika hapa kwa bahati mbaya. Lakini yote kwa yote itakuwa ukosefu wa heshima kama hatutazipa timu kama Juventus, Barcelona, Real Madrid na Bayern Munich nafasi ya kufika mbali au hata kuchukua ubingwa wa haya mashindano.Mimi sio mtu wa kubet ILA nashauri watu waingalie Porto kwa jicho la tahadhari
 
Pray For Manchester united [emoji23][emoji23]
IMG-20181217-WA0050.jpg
 
Buyern hawezi tolewa na liverpool hata siku mojaa, wako kwenye form
Kumbuka usiizungumzie liverpool ikaisahau kumzungumzia Klopp....Bayern ya sasa sio kama ya zaman...labda angekutana na Dortmund ila sio bayern wachovu tu sasa ivi
 
Back
Top Bottom