Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Ni kweli! Bayern hawana makali kama msimu uliyopita ila kwenye mpira lolote laweza kutokea.Bayern wameshukwa kiwango sasa hivi hata bundasliga wameachwa mbali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli! Bayern hawana makali kama msimu uliyopita ila kwenye mpira lolote laweza kutokea.Bayern wameshukwa kiwango sasa hivi hata bundasliga wameachwa mbali sana
Hiyo Juve na Atletico hapatoshi hapo ila Liverpool akipita haitakua ajabu maana Bayern hawana makali kama msimu uliyopita hapo kwa Mourinho naona kama amefika tamati ila kwenye mpira bahati ipo tusubiri.
Moja kati ya game ngumu kabisa msimu huu wa uefa. Hii game 50/50.Juventus watapita kweli kwa hao Atletico?
Atakayepita hapo huenda akacheza fainaliMoja kati ya game ngumu kabisa msimu huu wa uefa. Hii game 50/50.
CAMBANE: Isome (KAMBANI). Ni kuokota mipira kambani tu .. hata ikiwa MBACANE (MMBAKANE)... Ni kufanya watu wabakane tu [emoji16]Pray For Manchester united [emoji23][emoji23]View attachment 970499
Man U wana mkosi sana... Hapa wakitoka wana Mungu.
Hapo kweli kabisa mkuu siioni nafasi ya man u kusonga mbele..Draw imebalance, wote nguvu zinakaribiana uwezo isipokuwa United ni wamebebeshwa mzigo mzito.
Atletico vs juventus 50/50
Spurs vs BvB 50/50
Liverpool vs Bayern Munich 50/50
Fc Porto vs Roma nayo 50/50
Ajax vs Madrid 50/50
City, Barcelona, na PSG hao naona kuna 90% ya kwenda next round
Tukutane february.
Livapuuuuu,Manure na Tottennyege nje
We unakariri bro Bayern unayoijua wewe sio hii ya msimu huu. Kwenye ligi ya kwao hata bor Dortmund anawatoa pumu na Bayern aligongwa 3-2 sasa ninaamini Liverpool tunamtoa tena bila pressure yoyote mark my words.Kwa hii draw naiona liverpool ikitoka mapema kibisa, haiwez himili kishindo cha hawa wababe Buyern munich,
Psg inaenda kumnyoosha man united goli za kutosha
Kwa mbali namwona pep akifika final UEFA champions league
View attachment 970465
Siyo kwa Dortmund. Labda hao Schalke na Bayern.Mwisho wa timu za German
Juve ya msimu huu ni wepesi tu. Kocha ana silaha nyingi na nzuri ila anashindwa kuzitumia, yeye anatengeneza mfumo wa kumpendelea CR7 basiWe unakariri bro Bayern unayoijua wewe sio hii ya msimu huu. Kwenye ligi ya kwao hata bor Dortmund anawatoa pumu na Bayern aligongwa 3-2 sasa ninaamini Liverpool tunamtoa tena bila pressure yoyote mark my words.
Team zilizo kwenye form na ni hatari ni
Juventus
Dortmund
Psg
Liverpool wengine ni wagonga nyundo tu Kama Madrid full kuunga unga
Utashangaa kitakachompata BayernBuyern hawezi tolewa na liverpool hata siku mojaa, wako kwenye form
Livapuuuuu,Manure na Tottennyege nje
Buyern hawezi tolewa na liverpool hata siku mojaa, wako kwenye form
Masai amevamia disco na fimbo yakeMwisho wa timu za German