Klabu Bingwa Ulaya mzunguko wa 16 bora

Klabu Bingwa Ulaya mzunguko wa 16 bora

Bayern wameshukwa kiwango sasa hivi hata bundasliga wameachwa mbali sana
Ni kweli! Bayern hawana makali kama msimu uliyopita ila kwenye mpira lolote laweza kutokea.
 
Draw imebalance, wote nguvu zinakaribiana uwezo isipokuwa United ni wamebebeshwa mzigo mzito.

Atletico vs juventus 50/50
Spurs vs BvB 50/50
Liverpool vs Bayern Munich 50/50
Fc Porto vs Roma nayo 50/50
Ajax vs Madrid 50/50
City, Barcelona, na PSG hao naona kuna 90% ya kwenda next round

Tukutane february.
Hapo kweli kabisa mkuu siioni nafasi ya man u kusonga mbele..
 
Kwa hii draw naiona liverpool ikitoka mapema kibisa, haiwez himili kishindo cha hawa wababe Buyern munich,

Psg inaenda kumnyoosha man united goli za kutosha

Kwa mbali namwona pep akifika final UEFA champions league
View attachment 970465
We unakariri bro Bayern unayoijua wewe sio hii ya msimu huu. Kwenye ligi ya kwao hata bor Dortmund anawatoa pumu na Bayern aligongwa 3-2 sasa ninaamini Liverpool tunamtoa tena bila pressure yoyote mark my words.
Team zilizo kwenye form na ni hatari ni
Juventus
Dortmund
Psg
Liverpool wengine ni wagonga nyundo tu Kama Madrid full kuunga unga
 
Manchester united fans be like why do they hate us so much PSG again???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1545055418654.jpeg
 
We unakariri bro Bayern unayoijua wewe sio hii ya msimu huu. Kwenye ligi ya kwao hata bor Dortmund anawatoa pumu na Bayern aligongwa 3-2 sasa ninaamini Liverpool tunamtoa tena bila pressure yoyote mark my words.
Team zilizo kwenye form na ni hatari ni
Juventus
Dortmund
Psg
Liverpool wengine ni wagonga nyundo tu Kama Madrid full kuunga unga
Juve ya msimu huu ni wepesi tu. Kocha ana silaha nyingi na nzuri ila anashindwa kuzitumia, yeye anatengeneza mfumo wa kumpendelea CR7 basi
 
Back
Top Bottom