Klabu gani ya mpira Afrika Mashariki ina mashabiki wengi

Klabu gani ya mpira Afrika Mashariki ina mashabiki wengi

Hapa Afrika mashariki, nchi yenye mashabik wengi wa soka ni Tanzania. On top of that, Usimba na Uyanga umezidi. Kwa sababu hiyo, Simba na Yanga ndio zina mashabik wengi. Ukiwalinganisha na Watanzania, Wakenya hawapendi soka.
 
Ukitaka kujua klabu ipi ina washabiki wengi, angalia machela na ambulance huwa zinabeba washabiki wa timu gani wanaozimia kwa wingi, hasa wanapokutana na Simba!
 
Ukitaka kujua klabu ipi ina washabiki wengi, angalia machela na ambulance huwa zinabeba washabiki wa timu gani wanaozimia kwa wingi, hasa wanapokutana na Simba!

Inabidi Kichwa cha habari kirekebishwe kisomeke kama ifuatavyo:
Klabu gani ya soka Afrika Mashariki ina mashabiki wengi wenye Kifafa/Degedege?
Hapo vipi?
 
kwa Tanzania ni
1.Yanga
2.Simba
3.Mbeya city
4.Azam fc
 
Back
Top Bottom