Sasa wale watu wote wanaokuwa na dalili zote zile zinazoitwa za UKIMWI na kufa kwa kilo mbili kwa nini mifumo yao wa kinga mwilini inadhoofika hivyo?
Unajua mkuu unaweza kuona lakini usielewe kile unachokiona.Kuona na kuelewa ulichokiona ni vitu viwili tofauti.Ili uelewe kile unachokiona inabidi uwe na elimu ya kutosha kuhusu hiko unachokiona.Watu wengi sana walishawahi kuniuliza swali hili...lakini nilipowauliza waniambie mfano mmoja tu wa watu waliowaona wanakufa kwa dalili hizo kwamba walipopimwa waligundulika wana ugonjwa gani,watu hao walishindwa kabisa kunijibu..hii maana yake ni kwamba hawajafanya uchunguzi wa karibu,wametumia hisia tu....
Hili jambo ni pana sana,unahitaji kujua mambo mengi.Mfano,inabidi ujue pia kwamba ukimwi si ugonjwa na ukimwi hauui...ili ukonde,upungue uzito,nk au ufe..inabidi ugonjwa fulani unaofahamika ukuingie baada ya mwili kuwa na huo upungufu wa kinga.Sasa kinachokondesha au kupunguza uzito sio ukimwi,kwa kuwa ukimwi si ugonjwa na hauui.Muulize daktari yeyote mwelevu atakwambia kwamba ukimwi si ugonjwa....hivyo basi,technically,huwezi kusema kwamba ukimwi una dalili.....ukimwi ni hali tu..ndio maana hata mahospitalini huwa wanaandika kwenye cheti cha kifo ARD,wakimaanisha Aids Related Disease....yaani mtu amekufa kwa ugonjwa unaohusiana na ukimwi...lakini hawasemi mtu kafa kwa ukimwi kwa kuwa sio technical kusema hivyo,yaani haijakaa kidaktari zaidi.
Sasa basi,fahamu kwamba kinachodhoofisha au kukondesha au kupunguza uzito sio ukimwi..bali ni ugonjwa fulani unaofahamika kama vile TB nk.Sasa kama ungekuwa umefanya uchunguzi wako wa karibu kwa watu hao ungegundua hilo ninalosema...lakini wengi hutumia hisia tu,hawajachunguza kwa karibu...mimi ninayeongea na wewe sasa hivi huwa nafuatilia kwa ukaribu sana mambo haya,huwa nakwenda hata kwenye vituo vya afya,natembelea wagonjwa nk.
Sasa kwenye swali lako kuna mambo makubwa mawili;
1.Kinga ya mwili kudhoofika
2.Kufa kwa kupungua uzito/kukonda
Sasa hapa watu wengi sana wanashindwa kuelewa kutokana na kasumba tu iliyotokana na kampeni za muda mrefu za HIV/AIDS...watu wamesahau kabisa magonjwa halisi yaliyokuwepo tangu zamani...hata zamani dalili na vifo hivi vilitokea sana kabla ya huyo HIV kutangazwa..lakini sasa hivi ubongo wa watu wengi umepumbazwa na kampeni za muda mrefu kuhusu HIV tena zilizoambatana na video za kutisha...kumbe hawajui kwamba picha hizo wanazoziona ni matokeo ya magonjwa yaleyale ya zamani.....
Halafu watu wanashindwa pia kujiuliza...Je,HIV ni(hata kama yuko kweli),ni kijidudu kipya?Jibu ni kwamba kirusi kilichopewa jina la HIV si kipya,kilikuwapo tangu karne nyingi zilizopita....sasa swali la kujiuliza ni kwamba...Je,kwanini huyo HIV hakusababisha matatizo hayo huko nyuma lakini anakuja kusababisha muda wa hivi karibuni?Maswali kama haya watu wanayakwepa au kuyasahau kabisa kutokana na kasumba tu....
Sasa twende kwenye hizo point 2 za juu:
1.Kinga ya mwili kudhoofika;
Sababu zinazoshusha kinga ya mwili zipo nyingi sana..lakini zimewekwa pembeni na hazionekani kama ni za maana kutokana na kampeni nzito za kumpa umaarufu HIV kwamba ndio sababu ya ukimwi...lakini ukweli ni kwamba tayari imeshathibitishwa kwamba HIV hasababishi ukimwi...
Wale waliosema HIV anasababisha ukimwi wanakubali kwamba wameshindwa kuelezea ni kwa vipi anasababisha huo ukimwi,hilo halipingiki,wanakubali kinaga ubaga kabisa.Lakini wale wanaopinga wameweza kuthibitisha kabisa beyond any doubt kwamba huyo HIV hasababishi ukimwi.Sasa basi,ili kujua upande gani uko sahihi hapa inabidi uingie mwenyewe field ukaone kwa macho yako na kulinganisha ni theory zipi zinaendana na kile utakachokiona huko field.Jibu ni kwamba huyi HIV si sababu ya ukimwi,bali sababu za ukimwi zinahusiana na lifestyle tu..
Baadhi ya sababu:
1.Malnutrition,
2.Matumizi ya mara kwa mara ya dawa za hospitali kama vile antibiotics,dawa za uzazi wa mpango,dawa za kutuliza maumivu kama diclofenac nk,ARVs,chemotherapy nk..na kwa mantiki hii ARVs ndizo zinazosababisha ukimwi kwa wale wanaozitumia.Hapa kundi la mashoga linahusika sana kutokana na madawa wanayotumia hasa poppers,ndio maana takwimu za WHO zinazungumzia sana mashoga lakini wanadanganya watu kwamba HIV ndio anahusika,hili liko ki technic sana,tutajadili tukipata muda.
3.Utumiaji wa dawa za kulevya kama vile heroin...hapa pia angalia takwimu zao zimehusisha pia watumiaji wa dawa za kulevya lakini wanamwingiza HIV kama ndiye aliyehusika.Hawa jamaa wajanja sana,
4.Unywaji wa pombe kupindukia hasa bila ya kula vizuri,
5.Msongo msonono wa mawazo,
6.Mionzi mikali
nk
Hizo sababu zote si za kufikirika,zimethibitishwa kisayansi kabisa.
2.Kufa kwa kupungua uzito/kukonda
Ukiondoa kasumba hapa kwenye hili utagundua kwamba kuna magonjwa halisi yakikuingia mwilini unaweza kufa kwa dalili kama hizo hata kama ukipimwa utakutwa huna HIV.Mfano mmojawapo ni TB.
Dalili za TB;
-Kukohoa mfululizo
-Homa za mara kwa mara
-Kukonda sana
-Kupungua uzito
-Kukosa hamu ya kula
-Mwili Kukosa nguvu
-Kuharisha ama kutapika kama TB imesambaa katika GI track
sasa Je,hizi sio zile dalili ambazo watu ndio wameambiwa kwamba ndio za ukimwi?Kama ndio hizi,sasa VVU/ukimwi ni nini?
Halafu tambua kwamba,ili upate TB kinga yako lazima ishuke....watu hutembea na vijidudu vya TB kila siku lakini hawaugui..siku kinga itakaposhuka tu ndio huanza kuugua...hivyo tambua kwamba TB unaipata kama kinga imeshuka,yaani ukiwa na ukimwi.
Logic;
Sasa kama ukiwa na ukimwi ndio unaweza kupata TB,...Je,ni wote wenye TB wakipimwa hukutwa na HIV?
Jibu ni kwamba si wote...
Sasa wale ambao hawakutwi na huyo HIV ukimwi wao umesababishwa na nini?
Hapa ndipo utakapojua kwamba kuna sababu halisi za ukimwi lakini sio HIV...hii ni kwasababu tayari kuna uthibitisho wa kisayansi kwamba huyo HIV hasababishi huo ukimwi.Ukitaka kuthibitisha kwa macho unaweza kufanya hivi;
Fuatilia wale wanaopima HIV halafu wakaambiwa kwamba wana HIV...halafu fuatilia sana utagundua kati ya hao watu wapo wale watakaotumia ARVs na wale ambao hawatatumia ARVs...sasa wewe fuatilia wale wasiotumia ARVs...ukiona wanaishi wakiwa na afya njema kwa zaidi ya mwezi mmoja basi jua kwamba HIV hasababishi ukimwi....hii ni kwasababi sayansi ya huyo aliyepewa jina la HIV inasema kwamba huweza kusababisha madhara ndani ya mwezi mmoja tu na si zaidi ya hapo...hili linakubalika kwa pande zote mbili,yaani wale wanaokubali na wale wanaopinga suala hili.Na ndio maana wale wanaokubali wanakiri kwamba wameshindwa kuthibitisha kwanini watu wengi huchukua muda mrefu sana kabla ya kuanza kuugua hata kama hawatumii ARVs....ndio maana mgunduzi mmojawapo akaja na ushauri mwingine kwamba kuna mambo mengine yanasababisha ukimwi ukiacha HIV...mambo haya wanaita cofactors...lakini wenzake walikataa hoja yake wakisema HIV peke yake ndio sababu ya ukimwi....sasa umeona hii jinsi ilivyokaa kibiashara?
Fanya uchunguzi wako kwenye hilo.
Sasa huu ndio ukweli halisi wa yale unayoyaona mitaani....bila ya kujua ukweli huu unaweza kuona unachokiona lakini usielewe.
Karibu tena kwa hoja/swali nyingine/lingine.