SawaNilikuwa nataka nishangae kuona Nabi kama Angekubali ku-Downgrade na kufundisha kilabu kidogo Kaizer Chief au vyenye kufanana na Kaizer Chief.
Kwa hadhi ambayo amejengewa na Dar Young Africa SC alipaswa aende kwenye vilabu vikubwa kama Saudi Arabia.
Kubaki Afrika na kufundisha wakina Teko Modise ni kujishushia heshima tu.
Nampa Hongera & Kongole kwa uamuzi wake wa kukataa kujivunjia heshima na kuivunjia klabu yake ya zamani heshima.
Hapo uto mnapanga kumpiga tukio Muargentina ili mshindwane naye mumrudishe Nabi kabla msimu haujaanza. Kuna kesi nyingine inanukia.alipaswa aende kwenye vilabu vikubwa kama Saudi Arabia.
Mpira una politics zake ...acha M South mwenzao wapambane nao Nabi kuja Azam tukuze mpira TanzaniaNilikuwa nataka nishangae kuona Nabi kama Angekubali ku-Downgrade na kufundisha kilabu kidogo Kaizer Chief au vyenye kufanana na Kaizer Chief.
Kwa hadhi ambayo amejengewa na Dar Young Africa SC alipaswa aende kwenye vilabu vikubwa kama Saudi Arabia.
Kubaki Afrika na kufundisha wakina Teko Modise ni kujishushia heshima tu.
Nampa Hongera & Kongole kwa uamuzi wake wa kukataa kujivunjia heshima na kuivunjia klabu yake ya zamani heshima.
Mimi ni Yanga lakini Kaizer Chief ni timu kubwa South Africa nadhani kuliko Yanga.Nilikuwa nataka nishangae kuona Nabi kama Angekubali ku-Downgrade na kufundisha kilabu kidogo Kaizer Chief au vyenye kufanana na Kaizer Chief.
Kwa hadhi ambayo amejengewa na Dar Young Africa SC alipaswa aende kwenye vilabu vikubwa kama Saudi Arabia.
Kubaki Afrika na kufundisha wakina Teko Modise ni kujishushia heshima tu.
Nampa Hongera & Kongole kwa uamuzi wake wa kukataa kujivunjia heshima na kuivunjia klabu yake ya zamani heshima.
Hapa sijui umebonyeza ngapi kupata hiki kichekesho?Nilikuwa nataka nishangae kuona Nabi kama Angekubali ku-Downgrade na kufundisha kilabu kidogo Kaizer Chief au vyenye kufanana na Kaizer Chief.
Kwa hadhi ambayo amejengewa na Dar Young Africa SC alipaswa aende kwenye vilabu vikubwa kama Saudi Arabia.
Kubaki Afrika na kufundisha wakina Teko Modise ni kujishushia heshima tu.
Nampa Hongera & Kongole kwa uamuzi wake wa kukataa kujivunjia heshima na kuivunjia klabu yake ya zamani heshima.