Klabu kubwa ya Simba yasajili kinda wa miaka 26 tuu

Klabu kubwa ya Simba yasajili kinda wa miaka 26 tuu

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
8,586
Reaction score
11,227
Ni yule kinara wa magoli Ligi ya zambia
Screenshot_20240116-142442.png


NB. Nisije nikawa nina miaka 12 harafu hamniambii sio vizuri
 
Siku hizi ukiwa na maisha mazuri na ukawa unakula ma-junk foods sio ajabu mtu kuonekana mzee.
 
Umri wa mtu unapimwa kwa miaka sio muonekano wa mwili na maumbile.
 
Back
Top Bottom