mtwa mkulu JF-Expert Member Joined Sep 11, 2013 Posts 8,586 Reaction score 11,227 Jan 16, 2024 #1 Ni yule kinara wa magoli Ligi ya zambia NB. Nisije nikawa nina miaka 12 harafu hamniambii sio vizuri
Joselela JF-Expert Member Joined Jan 24, 2017 Posts 6,109 Reaction score 8,080 Jan 16, 2024 #2 Siku hizi ukiwa na maisha mazuri na ukawa unakula ma-junk foods sio ajabu mtu kuonekana mzee.
Bila bila JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 22,168 Reaction score 39,118 Jan 16, 2024 #3 Joselela said: Siku hizi ukiwa na maisha mazuri na ukawa unakula ma-junk foods sio ajabu mtu kuonekana mzee. Click to expand... Kumbe?
Joselela said: Siku hizi ukiwa na maisha mazuri na ukawa unakula ma-junk foods sio ajabu mtu kuonekana mzee. Click to expand... Kumbe?
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,855 Reaction score 189,385 Jan 16, 2024 #4 Kwa Uzee Huo, Huyo Ni Kocha Wa Washambuliaji Au Yeye Ndio Mshambuliaji Mwenyewe?
gigabyte JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 5,717 Reaction score 6,465 Jan 16, 2024 #5 Umri wa mtu unapimwa kwa miaka sio muonekano wa mwili na maumbile.
Being_neutral JF-Expert Member Joined Jan 9, 2024 Posts 376 Reaction score 727 Jan 16, 2024 #6 gigabyte said: Umri wa mtu unapimwa kwa miaka sio muonekano wa mwili na maumbile. Click to expand... Unapimaje miaka?
gigabyte said: Umri wa mtu unapimwa kwa miaka sio muonekano wa mwili na maumbile. Click to expand... Unapimaje miaka?