tony92
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,398
- 3,691
Wivu hauchagui na ndo maana kaanzisha uziAnayekwenda uturuki kwaajili ya pre season amuonee wivu anayekwenda kijijini malawi [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu hauchagui na ndo maana kaanzisha uziAnayekwenda uturuki kwaajili ya pre season amuonee wivu anayekwenda kijijini malawi [emoji23][emoji23]
Yanga timu ya serikaliKuna ushamba mwingi, YANGA ...
Ukiangalia hata press yao juu ya kualikwa Malawi, kwa ni jambo kuuuuuubwa...!
Nasikia wanaenda kuomgezewa makalio🤣🤣Anayekwenda uturuki kwaajili ya pre season amuonee wivu anayekwenda kijijini malawi [emoji23][emoji23]
Kama uliyonayo Wewe baada ya Kuongezewa.Nasikia wanaenda kuomgezewa makalio🤣🤣
Ya kwako si ulienda na Babra 🤣🤣😀Kama uliyonayo Wewe baada ya Kuongezewa.
kila kona ya afrika inatamani burudani za yanga,nasi hatuna baya kuwafurahisha waafrika wenzetu kwa kile mungu alichotubariki mguuni,nyie nendeni Uturuki mkafanye surgery ya kuongeza makalio tuje kuyashika shika NBC2023-2024Tunaojitambua na tusiopenda Mialiko ya kishamba na isiyo na Utaratibu hao Pre Season Ulaya ya Mbali Uturuki huko.
Kudadadeki.
Nimewasikia ma bosi wao, eti wangeweza kualikwa hata Arsenal, lakini baada ya vikao vya viongozi wa serikali wakiongozwa na Rais wao, wakaona raha wataipata kupitia wao!Kuna ushamba mwingi, YANGA ...
Ukiangalia hata press yao juu ya kualikwa Malawi, kwa ni jambo kuuuuuubwa...!
Kwa Upumbavu na Ushamba wenu.Kumbe mnateseka
Tangu lini kualikwa na Rais likawa jambo Dogo?Kuna ushamba mwingi, YANGA ...
Ukiangalia hata press yao juu ya kualikwa Malawi, kwa ni jambo kuuuuuubwa...!