Klabu ya Al Wahada ya UAE imemtangaza Pitso Mosimane kuwa Kocha wao Mkuu

Klabu ya Al Wahada ya UAE imemtangaza Pitso Mosimane kuwa Kocha wao Mkuu

Pesa ni tamu ila msimsifie sana, huyu kaweka pesa mbele zaidi kuliko legacy yake. Kashajishusha sana thamani yake, atazunguuuka huko apige pesa ila akitoka huko uarabuni hakuna sehemu nyingine timu kubwa itamtaka. Wanaojitambua kina Messi wameona bora wakamalizie mpira wao Marekani tu.

Nina uhakika kina Hersi gia waliyokuwa wanamuendea ni masuala ya ukombozi na urafiki wa Nyerere na Mandela ila walikuwa wanajua hawamuwezi kifedha, kiserikali wala..... mbele ya safari anaweza kuja kustaafia huku, pesa chafu za wanasiasa zikatumika kumlipa.
Messi is quite different compared to piso, miaka 58 hata ingekua wewe kwa nini usichukue hicho kitita usomeshe wajukuu Harvard?,
 
Pesa ni tamu ila msimsifie sana, huyu kaweka pesa mbele zaidi kuliko legacy yake. Kashajishusha sana thamani yake, atazunguuuka huko apige pesa ila akitoka huko uarabuni hakuna sehemu nyingine timu kubwa itamtaka. Wanaojitambua kina Messi wameona bora wakamalizie mpira wao Marekani tu.

Nina uhakika kina Hersi gia waliyokuwa wanamuendea ni masuala ya ukombozi na urafiki wa Nyerere na Mandela ila walikuwa wanajua hawamuwezi kifedha, kiserikali wala..... mbele ya safari anaweza kuja kustaafia huku, pesa chafu za wanasiasa zikatumika kumlipa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuonyeshe legacy yako basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Messi is quite different compared to piso, miaka 58 hata ingekua wewe kwa nini usichukue hicho kitita usomeshe wajukuu Harvard?,
Pesa tamu ila kutoka kujijengea heshima Afrika hadi kwenda uarabuni kupandisha timu daraja, hata yeye anajua anazingua ila mshahara unamliwaza. Anyway, kila mtu na life yake siwezi kumlaumu.

Miaka 58 kwa kocha bado ni midogo.
 
Back
Top Bottom