Daaah kazi ya ukocha ngumu sanaaa, inaongoza kwa stress, kutukanwa,kusifiwa, kulaumiwa na kuzomewaKlabu ya Azam FC imemfukuza kocha wake Mholanzi Hans van der Pluijm na Msaidizi wake Juma Mwambusi.View attachment 1030355
Sent using Jamii Forums mobile app