Klabu ya Azam FC yamfukuza Kocha wake Hans Van Der Pluijm na Msaidizi wake!

Klabu ya Azam FC yamfukuza Kocha wake Hans Van Der Pluijm na Msaidizi wake!

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Klabu ya Azam FC imemfukuza kocha wake Mholanzi Hans van der Pluijm na Msaidizi wake Juma Mwambusi, kufuatia mwenendo mbaya katika ligi kuu Tanzania.
IMG_20190223_190104_613.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa zetu Chirwa na Ngoma wapo?
Maana walidai wanataka malipo mazuri ili waperform
 
Maamuzi sahihi kwa wakati sahihi, Azam ijiepushe na siasa za yanga na simba kama wanataka mafanikio. Waachane na makocha na wachezaji hasa wanaotoka yanga


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom