Klabu ya Bayern Munich yamtimua wake Kocha Carlo Ancelotti

Klabu ya Bayern Munich yamtimua wake Kocha Carlo Ancelotti

Mkuu hivi Ulli ameshatoka nyuma ya nondo? Maana mtu kama Frantz huwezi mdanganya maana ameshinda kila kitu kwenye maisha yake ya soka
Ulli alishatoka,Bayern wote ni kama Zidane hivi huwezi leta longo longo.Hao wa Hashbanton groove akina Kraonke au Henry wa Liverpool wamejulia mambo haya ukubwani .
 
Ulli alishatoka,Bayern wote ni kama Zidane hivi huwezi leta longo longo.Hao wa Hashbanton groove akina Kraonke au Henry wa Liverpool wamejulia mambo haya ukubwani .
Kweli mkuu ,kina FSG wa Liverpool wale waamerika wapo kibiashara tofauti na wazee wao wa kijerumani wananikera sana im kopites die fun bhasi tu
 
Njooni mtutimulie na Hasani Wenga!
Angekuwa bongo angechezea mayai viza kila mechi
 
carlo tangu pre-season anapigwaaa tuuu ad ligii isotoshe atakutana na mm man u....so naua tuuu
 
ningekuwa ujerumani ningemshauri huyu babu kitendo cha kumkalisha benchi kipenzi cha wajerumani TOMASI MULLER ilikuwa ndio shimo lakohilo
 
Msimu huu ulianza vibaya sana kwa mzee huyu na timu yake anyway wenzetu kufukuza makocha kama wanavyosema wanaajiriwa ili wafukuzwe ...ila Bayern Munich wanamhitaji Kocha mwenye sauti kubwa kuliko Arjen Roben, Thomas Muller na Frank Riber. Hawa jamaa ni miongoni mwa wanaosababisha waalimu Wengi sana wafeli katika mipango yao.
 
Safi sana. Hana jipya. Anazingua tu kazi kuendeleza soka la Guardiola. Mzee fara kabisa yule.
 
Back
Top Bottom