Nami nashindwa kuelewa. Jamaa alijitahidi sana, ila shukrani ya punda. Na huyu mpya, ajiangalie sana. Asifurahie kufurushwa Mtaliano mwenzie, na kupewa kibarua yeye. Anaweza asimalize msimu.
Binafsi, alikuwa ananipa burudani sana kwenye shangilia yake!
anataka pasi kama wenger..kaanza kumlilia mourinho afundishe pasi kama wenger tangu 2005,hilo jamaa linalokuja linajua pasi ila mipango konki ya goli ni shida