Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Nami nashindwa kuelewa. Jamaa alijitahidi sana, ila shukrani ya punda. Na huyu mpya, ajiangalie sana. Asifurahie kufurushwa Mtaliano mwenzie, na kupewa kibarua yeye. Anaweza asimalize msimu.lakn sioni sababu ya kumfukuza jamaa, anarekodi nzur tu pale, tatzo bosi wetu anataka chelsea ichukue epl misimu yote, hcho kitu hakiwezekani,
Binafsi, alikuwa ananipa burudani sana kwenye shangilia yake!