Klabu ya JS Kabylie ya Algeria imekamilisha ujenzi wa uwanja wake

Haina maana sasa.......
Kama unao uwanja lakini mechi zako zote kubwa unachezea Taifa.
Mfano Simba na Wydad uchezeshe kwenye watu 25k?
Elfu 25 ni watu wengi, kiingilio hakiwi tena buku 3
 
Aisee,wamejitahid sana hadi kuna kilabu wamezizid na zipo pale uingereza premier league kama Man u na liverpool
 
Bonge la uwanja na naona wamejenga uwanja wa angalau miaka 70 mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…