Ni hoja dhaifu sana kutoka kwako na sikutegemea. Huwezi kutetea jambo bovu kwa kusema 'mbona na kule lilitokea'!Mbona hawalisemi shati lao Manula kama anauza mechi? Nchi hii imekuwa na wajuaji wengi sana
Wachambuzi wanadai alikuwa ana uwezo wa kuumiliki mpira, lakini cha ajabu akamtengea mfungajiKwani kipa alifanya nini?
Naanzaje kumwelewesha mtu aliyeamua kujitoa ufahamu?Mkuu unazungumzia timu tatu nyingine zipi ambazo zimesaidiwa na kimenyumenyu?
Lazima muanze kujenga kwenu kabla ya kutoka nje...........Ni hoja dhaifu sana kutoka kwako na sikutegemea. Huwezi kutetea jambo bovu kwa kusema 'mbona na kule lilitokea'!
Swali lilikua linataka utaje hizo timu tatu na sio uelezeeNaanzaje kumwelewesha mtu aliyeamua kujitoa ufahamu?
Mkuu Mimi nadhani Hawa ndo wale Mama etu mpendwa alisema Wana uelewa wa kawaida Kama kiongozi mkubwa asingeweza kusema Wana ulemavu wa akiliKwamba kushabikia timu ambayo imesababisha timu 3 nyingine hapa nchini zishiriki michuano ya kimataifa, mara 2 mfululizo, huku ikipewa heshima ya kushiriki Super Cup ni kujitoa ufahamu? Nadhani unapaswa upewe kitanda pale Mirembe.
Angalia huyu boya ule msimu ulioenda ukapigwa nje ndani na rivers united ulienda Kama bingwa wa mapinduzi haya biashara united alienda Kama Nani Azam syo timu tatu halafu mkiambiwa wenye akili ni wawili mnalalamikaMkuu unazungumzia timu tatu nyingine zipi ambazo zimesaidiwa na kimenyumenyu?
We poyoyo nilitaka zitajwe timu tatu zilizosaidiwa na kinyumenyume FC. Punguza mihemuko na kulingana na maelezo yako kumbe sio timu tatu ni mbiliAngalia huyu boya ule msimu ulioenda ukapigwa nje ndani na rivers united ulienda Kama bingwa wa mapinduzi haya biashara united alienda Kama Nani Azam syo timu tatu halafu mkiambiwa wenye akili ni wawili mnalalamika
Hii mechi walicheza lini? Maana Yanga mechi ya kwanza alishinda goli 1 na lilifungwa na Feisal salum AbdalahHuyu kipa ni msengerema Sana, hata ile mechi ya kwanza aliwapa goli 2 za waziwazi kabisa