Tetesi: Klabu ya Simba SC ipo mbioni kuhamishia mechi zake uwanja wa AZAM complex- Chamazi mara baada ya Yanga kuhamia KMC complex

Tetesi: Klabu ya Simba SC ipo mbioni kuhamishia mechi zake uwanja wa AZAM complex- Chamazi mara baada ya Yanga kuhamia KMC complex

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Ili kuonesha kuwa siku ya kufa nyani miti yote huteleza.

Kuna tetesi kuwa klabu ya Simba sc imeamua kuhamishia mechi zao za nyumbani katika uwanja wa Azam complex ili kupishana na mahasimu wao wa jadi klabu ya Yanga

Ambayo imeamua kuuhama uwanja huo bila ya kutoa sababu maalumu mara baada ya kupokea vichapo mara mbili mfululizo kutoka kwa Azam na Tabora united katika uwanja wa azam complex.

Soma Pia: Yanga yahamishia makazi katika Uwanja wa KMC Complex
 
Simba ni wastaarabu,wameona mbali maana mechi 3 kwenye uwanja mmoja isingependeza,ligi iwe hapo, FA iwe hapo kimataifa iwe hapo pia na wote wawili wana mechi za kimataifa,huo uwanja si utageuka matuta ya viazi
 
Y
Simba ni wastaarabu,wameona mbali maana mechi 3 kwenye uwanja mmoja isingependeza,ligi iwe hapo, FA iwe hapo kimataifa iwe hapo pia na wote wawili wana mechi za kimataifa,huo uwanja si utageuka matuta ya viazi
Yanga ni wanga wanatafuta sababu sasa Simba wanawaachia uwanja.

Mchawi mpe mtoto akulelee
 
S
Ili kuonesha kuwa siku ya kufa nyani miti yote huteleza.

Kuna tetesi kuwa klabu ya Simba sc imeamua kuhamishia mechi zao za nyumbani katika uwanja wa Azam complex ili kupishana na mahasimu wao wa jadi klabu ya Yanga

Ambayo imeamua kuuhama uwanja huo bila ya kutoa sababu maalumu mara baada ya kupokea vichapo mara mbili mfululizo kutoka kwa Azam na Tabora united katika uwanja wa azam complex.

Soma Pia: Yanga yahamishia makazi katika Uwanja wa KMC Complex
Simba warudi wakakutane na walivyoviacha.
 
Simba ni wastaarabu,wameona mbali maana mechi 3 kwenye uwanja mmoja isingependeza,ligi iwe hapo, FA iwe hapo kimataifa iwe hapo pia na wote wawili wana mechi za kimataifa,huo uwanja si utageuka matuta ya viazi
Si mlisema yanga kawafata ghetto anaenda kufa sasa mnakimbia nini, kama nyie ni wanaume si mbaki hapo hapo!
 
Ni TETESI.
Lakini pia kama ni kweli sio mbaya maana waswahili husema " usibishane na kibambazi wakati mlango huo wauona.."
 
ukisikia KUBWA JINGA, ujue ni SIMBA & YANGA. wapo busy kutumia viwanja vya watoto....kutwa inakenua meno na kushangilia wakijinasibu timu kubwa..hakuna lolote mineno tu....hawana hata viwanja. unajiita mwanaume huna hata nyumba ya kulala...si ujinga huu 😀 😀 😀
 
WATAWEZA kucheza mchana?Maana majini ya yanga ya kula usiku.
 
🤣 naona simba kawa nyau anakimbia anaogopo hasira za mkizi zisije kula kwake, maana yanga anaweza kufungwa hata na pamba lkn simba akaja kuliwa vibaya aibu ya nchi...
 
Back
Top Bottom