Tetesi: Klabu ya Simba SC ipo mbioni kuhamishia mechi zake uwanja wa AZAM complex- Chamazi mara baada ya Yanga kuhamia KMC complex

Tetesi: Klabu ya Simba SC ipo mbioni kuhamishia mechi zake uwanja wa AZAM complex- Chamazi mara baada ya Yanga kuhamia KMC complex

Mkuu hao majamaa wanaamini ushirikina lakini wanasahau wachezaji wameshuka viwango
Wanaamini ushirikina kama hawa
AEB16F64-40A5-4840-9F38-2EF40B520315.jpeg
 
ukisikia KUBWA JINGA, ujue ni SIMBA & YANGA. wapo busy kutumia viwanja vya watoto....kutwa inakenua meno na kushangilia wakijinasibu timu kubwa..hakuna lolote mineno tu....hawana hata viwanja. unajiita mwanaume huna hata nyumba ya kulala...si ujinga huu 😀 😀 😀
Sio kila mwanaume ana nyumba wengine wamepanga
 
Utopolo wamehama sababu kwamba wao ni washirkina wakubwa na wachawi, na pia ili wawwze kufanya uchawi na kujidunga masindano kwa uhuru zaidi mana sidhan kama uwanja wa kmc una cctv kamera..
 
[emoji1787] naona simba kawa nyau anakimbia anaogopo hasira za mkizi zisije kula kwake, maana yanga anaweza kufungwa hata na pamba lkn simba akaja kuliwa vibaya aibu ya nchi...
Mateja mnachekesha sana.
 
[emoji1787] naona simba kawa nyau anakimbia anaogopo hasira za mkizi zisije kula kwake, maana yanga anaweza kufungwa hata na pamba lkn simba akaja kuliwa vibaya aibu ya nchi...
Simba wanacheza soka hawana muda wa kupoteza kuanza kupambana na wanga.
Nguvu ya yanga siku zote ni kwenye uchawi.
 
Ili kuonesha kuwa siku ya kufa nyani miti yote huteleza.

Kuna tetesi kuwa klabu ya Simba sc imeamua kuhamishia mechi zao za nyumbani katika uwanja wa Azam complex ili kupishana na mahasimu wao wa jadi klabu ya Yanga

Ambayo imeamua kuuhama uwanja huo bila ya kutoa sababu maalumu mara baada ya kupokea vichapo mara mbili mfululizo kutoka kwa Azam na Tabora united katika uwanja wa azam complex.

Soma Pia: Yanga yahamishia makazi katika Uwanja wa KMC Complex
Akili yangu bado haijatengamaa baada ya kichapo cha Tabora, kwa hiyo siwezi kukujibu.
 
Tupo pamoja hata wakienda Ruangwa...
Utopolo ni mazuzu...sababu za kuhama ni za kijinga mnoo...
Bora Simba wanaeleweka uwanja uko overloaded bora wagawane timu mbili mbili...
 
Hatuwezi kukaa na wanga... 🤣 🤣 🤣 🤣
 
CHAMAZI HAITAKI MAKAMALI YA SIMBA NA YANGA.

Azam hawataki kamali na ushirikina wa simba na yanga.

Simba na yanga hawapo tayari kuacha kamali.
 
Back
Top Bottom