Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Huu mchezo hauhitaji hasira Mtani.Huyu mtoto na yule banda ni machoko sana
Kessy ni mchezaji mvumilivu sana!
Juzi baada ya mechi ya toto yule kipa bubu' alitandika ngumi za kutosha!
Muda wote wa mkataba simba ilikataa kutimiza vipengele kadhaa tena kwa maksudi kabisa ili kumkwaza tuu
Tangu kufungwa mechi ya yanga, mazoezin amekuwa akinyanyasika toka wachezaji, viongozi na wapenzi wa timu
Mikia Nibiru inawahusu Mwaka huu.KESSY KUONDOKA SIMBA SIO WA KWANZA WALA HATAKUWA WA MWISHO. NI LAZIMA TUJUE KUWA ILIKUWA LAZIMA AONDOKE KWA SABABU ILE IMANI KATI YA MWAJIRI NA MWAJIRIWA ILISHAPOTEA KWA HIYO SULUHUSIHSO NI AIDHA KESSY KUONDOKA AU SIMBA IMFUKUZE. LAKINI KWA JINSI KESSY ANAVYOJIELEZA KWENYE VYOMBO VYA HABARI NIKIUNGANISHA NA PASI ALIYOMPA NGOMA PAMOJA NA RAFU ALIYOMCHEZEA EDWARD CHRISTOPHER INAHITAJIKA KUFANYA UTAFITI ILI KUPATA UKWELI. NI WAJIBU KWA VIONGOZI WA VILABU NCHINI KABLA YA KUSAJILI WACHEZAJI WAWE WANAFUATILIA TABIA/NIDHAMU ZAO NDANI NA NJE YA UWANJA.
MAKUZI dawa yake MAKONZI tuHuyo kipa bondia kaachwa bila hatua yoyote?
ni Kaburutatizo la simba sio wachezaji, ni hao wanaojiita viongozi.
wachezaji wanajifunga wenyewe lakini hawafukuzwi, wanapata kadi nyekundu lakini hawafukuzi, wanatoa boko lakini hawafukuzwi ila kwa simba....Mawakili wanaomtetea Kessy wako wengi sn sijui kwa nn...
Hawaoni huyu mchezaji anavyoigharimu timu ktk mechi muhimu???
Kwa jicho la mbali utaona huyu bwana bado hajitambui...hajajua thamani ya jezi ya Simba Sports labda...ni kama analeta makuzi kwenye nyoyo za wapenzi wa Simba...kumpasia Ngoma na kadi nyekundu ktk mechi na Toto ni mifano iliyo wazi...Hizo mechi zimewatia simanzi wapenzi wangapi wa Msimbazi?Unapowaudhi na kuwasononesha mashabiki mara kwa mara nani atakuwa na shauku ya kuja uwanjani?Mtu alipe pesa yake kuja kuangalia maudhi??
Ni kweli yeye ana kipaji cha kucheza mpira lkn wapenzi wa Simba Sports ANATUZINGUA.
Ni kweli vile vile mpira ni mchezo wa makosa basi tumpe ruhusa tu hayo makosa yake akayafanyie timu nyingine...tuone kama watamstahmilia.
Kama ataenda Jangwani poa tu...ya Amir Maftah bado tunayakumbuka.
Zile crosses alizopiga na kuzaa magoli tangu ajiunge Simba unajua ziko ngapi? Akifanya vyema, ni mchezaji mzuri, akikosea ni kirusi. Mpira ni mchezo wa makosa Mkuu, vumilieni.
Bao tulilofungwa na Mwadui FC ni dhahiri yalikuwa ni makosa binafsi ya Kamusoko lakini sisi hatujapiga kelele, mbona wenzetu hivyo au ndio Jerry Muro kawavuruga?
Hivi FFF ilimfungia mechi ngapi zidane kwa kumpiga kichwa materazzi tena kwenye fainali ya kombe LA dunia?Ile rafu alicheza ya kiwendawazimu kabisa. Hamna professional footballer anayecheza rafu ile, it was a 'very unprofessional silly challenge'.