Tusubiri tuone mbadala wake atakuwa naniTulikuwa wote kwenye hali zote kwenye mafaniko ya ndani na Kimataifa.
Kila la heri beki wa mpira
Tutakukumbuka kwa zile pasi ndefu
Onyango ni mbovu sana anakaba upepo tu hamna kitu! mbona CCM Kirumba Mayele alimpeleka puta mpaka anaanguka ovyo kama gunia la mchanga!!Kwa jinsi tetesi za usajili wa Simba zilivyo mitandaoni kama ndio zitakuwa hivyo sidhani kama huyu mwamba atapona. Hasa ukizingatia mkataba wake unaisha msimu huu na yeye alishaanza kuzingua aongezewe mpunga mrefu.
Jamaa anakaba kweli kweli lakini sasa akishapta mpira badala ya kuanzisha mashambulizi anapasia adui yaani kwa kifupi kwenye kupiga pasi mkaa jamaa anaongoza pale kwenye timu ya Simba.
Kuna Mkenya anaitwa Akum katupiwa virago Kaizer na anaweza kucheza beki wa kati na kiungo mkabaji kwa vizuri tu sasa huyu Onyango inabidi awe mpole tu akae na viongozi wayasawazishe mapema kabla mambo hayajawa mabaya.
Tangu muijue Berkane, mjini hapakaliki kila sehemu ni mate tu.Berkane wanamtaka!
Mkuu Pettymagambo Hana muda mrefu kuachwa kuanzia sasa, na kwa kuwa hajasaini mkataba mpya basi kazi itakuwa rahisi mno...!Ghazwat
Vp onyango Mbona haachwi? Ananikera kwa maboko anayotoa!
Namtakia mema huko aendako. Kuna vitu vya kipekee tutavimiss toka kwake hususan uwezo wake wa kupiga pasi za mbali na zinazofika kwa mlengwa.
Kwakuwa Azam hawana malengo ya kufika Fainali ya Caf, Nawashauri wamchukue kijana wao, atawasaidia sana kimataifa msimu uja