hekimanyingi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 679
- 573
Umeshanunua kikuku?Mechi ya Kwanza
Simba 2 mazembe 1
Mechi ya 2 kule Congo
Mazembe 4 Simba 0
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu huu kimzaa mzaa fainali ileMshindi ya Simba vs mazembe
Anacheza nusu na mshindi Kati ya
Horoya FC vs wydad Casablanca
View attachment 1050100
Sent using Jamii Forums mobile app
Ule ulikuwa ni upepo tu sasa hivi ndo kimbunga kamiliMimi Mnyama damu ila record yetu mechi za ugenini
5- 0
5- 0
2- 0
Hatujafunga hata goli moja ugenini hatua ya makundi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwaombea mabaya gormahia kazi wapewe yangaKamati ya roho mbaya ianze kazi mala moja ya kuiombea njaa gormahia kwa maslahi mapana ya taifa
Tunataka timu nne msimu ujao.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
hii ni knockout stage hamna cha kuhesabu point tatu. Magoli ndio mpango mzimaToba anaanzia nyumbani,Ila yote kwa yote Point tatu lazima aziache nyumbani hapa
Mkuu hizi mechi za kiafrica Zina majungu Sana
Hizo ni kwenye makundi; hii ni robo fainali tegemea mabadiliko makubwa ya kiufundi kwa kila timu zilizofuzu. Lolote linaweza kutokea.Zile goli 8 asalaĺeee
Kufunga sio tatizo shida Ni kumtoaTumemfunga As Vita ambae ndio bingwa msimu uliopita wa Congo.. mazembe lazima presha iwe juu
Sent using Jamii Forums mobile app