Dr Msaka Habari
Member
- Apr 9, 2022
- 66
- 32
Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Klabu ya Simba kimelalamikiwa kwa kitendo chake cha ubaguzi na kutoa kauli chafu dhidi ya wanahabari kitendo kilitafsiriwa kuwa ni ukandamizaji wa tasnia ya habari.
Hayo yamejili jana katika uwanja wa Benjamini Mkapa, lilipokuwa likiendeshwa zoezi la utoaji wa vitambulisho vya kuingilia kwenye Tamasha la Simba day.
Wakizungumza na Mwakilishi wa Jamii Forum wamesema kuwa wamesikitishwa sana na Chiko kwa kitendo cha kutotuthamini sisi wanahabari, ebu angalia wanavyotuchukulia kama sijui kitu gani, alionekana akilalamika mmoja wa Wanahabari uwanjani hapo.
"Nimeripoti habari za Simba kwa miaka kumi sasa leo najibiwa kama mbwa mimi, nisiye na thamani, tumekuwa pamoja muda wa miezi sasa wakituita tunakuja bila hata malipo yoyote hata kutupa nauri tu hakuna lakn kwa kuwa ni wajibu wetu sisi hilo hatujali eti leo tuna ambiwa wanaopewa ni wale wanaowafahamu wao kama hakufahu hawezi kukupa tafuta utaratibu wa kuingia ndani" alisema mwandishi x.
Aliendelea kwa kusema kuwa sisi wengine kwa sababu yakuandika mazuri kuhusu Simba imepelekea kuzuiliwa kuingia kwenye shughuli za Yanga, lakini hilo hatujali ila hili la leo Simba mmetuvua nguo.
"Ebu tamaza wanahabari wanavyodhalilishwa hapo wanapangishwa foleni kama wanahesabu namba, wakati wengine wamewahita vyumbani wakawapatia hivyo vitambulisho, ambao hata kwenye shughuli nyi gi za Simba hawaonekani na sisi tupo kila shughuli yao lakni wanatufanyia hivi" alisema x
Pia wameuomba uongozi wa Simba kutokuruhusu vitendo kama hivyo kwa kuwa vinaleta picha mbaya kwa klabu hiyo.
Simba ni klabu kubwa Tanzania na nje ya Tanzania hivyo basi ikiruhusu tena makosa kama haya dhidi ya wanahabari itaondoa ile taswira imara mbale ya jamii.
Hayo yamejili jana katika uwanja wa Benjamini Mkapa, lilipokuwa likiendeshwa zoezi la utoaji wa vitambulisho vya kuingilia kwenye Tamasha la Simba day.
Wakizungumza na Mwakilishi wa Jamii Forum wamesema kuwa wamesikitishwa sana na Chiko kwa kitendo cha kutotuthamini sisi wanahabari, ebu angalia wanavyotuchukulia kama sijui kitu gani, alionekana akilalamika mmoja wa Wanahabari uwanjani hapo.
"Nimeripoti habari za Simba kwa miaka kumi sasa leo najibiwa kama mbwa mimi, nisiye na thamani, tumekuwa pamoja muda wa miezi sasa wakituita tunakuja bila hata malipo yoyote hata kutupa nauri tu hakuna lakn kwa kuwa ni wajibu wetu sisi hilo hatujali eti leo tuna ambiwa wanaopewa ni wale wanaowafahamu wao kama hakufahu hawezi kukupa tafuta utaratibu wa kuingia ndani" alisema mwandishi x.
Aliendelea kwa kusema kuwa sisi wengine kwa sababu yakuandika mazuri kuhusu Simba imepelekea kuzuiliwa kuingia kwenye shughuli za Yanga, lakini hilo hatujali ila hili la leo Simba mmetuvua nguo.
"Ebu tamaza wanahabari wanavyodhalilishwa hapo wanapangishwa foleni kama wanahesabu namba, wakati wengine wamewahita vyumbani wakawapatia hivyo vitambulisho, ambao hata kwenye shughuli nyi gi za Simba hawaonekani na sisi tupo kila shughuli yao lakni wanatufanyia hivi" alisema x
Pia wameuomba uongozi wa Simba kutokuruhusu vitendo kama hivyo kwa kuwa vinaleta picha mbaya kwa klabu hiyo.
Simba ni klabu kubwa Tanzania na nje ya Tanzania hivyo basi ikiruhusu tena makosa kama haya dhidi ya wanahabari itaondoa ile taswira imara mbale ya jamii.