Klabu ya Simba yathibitisha kukamilisha usajili wa kiungo nyota Nassoro Kapama

Hebu tuambie, ulitaka wasajili mchezaji gani wa ndani ili ujue kuwa wako serious.
KiunGo kaMa feisaL,striker kaMa mpoLe, aPO tunGeoNa kweLii wapo serious iLa ngoja tuoNe usajiLii wa naMna hii wamefaNya Last season tukawa na maumivu kiLa mecH
 
Kesho ni KICHUYA na taarifa nzuri ni kwamba CHRIS MUGALU THE ANIMAL atakuwepo Msimu ujao [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Huyo ni zlipendwa!
 
Ila sisi Simba Sc tunafanya usajili wa kijinga sana msimu huu, wenzetu wamesajili WONDER KID Bigirimana kutoka UK halafu sisi tuko busy na wachezaji wa ndani tu.
Mkuu yule ni wonder kuli, hukumuona akiwa TBL ya ulaya kwenye makreti ya bia?
 
Ila watu mna dhambi aisee😂😂
Eti bigirimana ni wonderkid!!!!!!!
 
KiunGo kaMa feisaL,striker kaMa mpoLe, aPO tunGeoNa kweLii wapo serious iLa ngoja tuoNe usajiLii wa naMna hii wamefaNya Last season tukawa na maumivu kiLa mecH
Hao kama ndo wachezaji gani?
 
KiunGo kaMa feisaL,striker kaMa mpoLe, aPO tunGeoNa kweLii wapo serious iLa ngoja tuoNe usajiLii wa naMna hii wamefaNya Last season tukawa na maumivu kiLa mecH
Mkuu ungemaliza kwanza kunena kwa lugha ndipo uandike
 
Akpan, Phiri, Banda, Kanoute, Chama, Illonga, Mugalu, Sakho, Manzoki, Okrah... wanatosha.

Pale mbele Manzoki na Phiri ni mbadala mzuri tu wa Kagere & Bocco.
 
Kesho ni KICHUYA na taarifa nzuri ni kwamba CHRIS MUGALU THE ANIMAL atakuwepo Msimu ujao [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Simba mpaka ishuke daraja ndio itajifunza. Mugalu na boko wa kazi gani?. Bado unahangaika na akina muzamiru. Haya bwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…