SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Sasa nyie ndiyo mchukue mstaafu wa timu ya Taifa ya Burundi? Hersi kawapiga na kitu chenya ncha kali.Mchezaji Miaka Nenda Rudi Yupo Ligi Kuu Na Hajawahi Hata Kuitwa Timu Ya Taifa [emoji28]