Klabu ya Singida wamepokea kwa mshtuko na masikitiko kocha wao kutambulishwa Yanga

Klabu ya Singida wamepokea kwa mshtuko na masikitiko kocha wao kutambulishwa Yanga

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Uongozi wa Klabu ya Singida Black Stars umeeleza kustushwa na taarifa za Kocha wao Mkuu Hamdi Miloud Raia wa Algeria na Ufaransa kutambulishwa kama Kocha mpya wa Yanga bila kufuata utaratibu.

Singida Black Stars walimtangaza Hamdi Miloud kuwa Kocha wao mpya mwezi mmoja uliopita kwa Mkataba wa mwaka mmoja na nusu.

===

Tumepokea kwa mshituko na masikitiko makubwa taarifa ya kocha wetu Hamdi Miloud kutambulishwa na Klabu ya Yanga bila kufuata utaratibu.

Uongozi wa Klabu unalifuatilia jambo hili, tunawaomba mashabiki na wapenzi wa Singida Black Stars wawe watulivu wakati uongozi ukifanyia kazi jambo hili.

Idara ya Habari na Mawasiliano
Singida Black Stars SC


IMG_2940.jpeg
Soma, Pia
 
Maigizo ya kawaida ili kuficha ficha... hakuna kocha mjinga wa kufanya huo ujinga huku akijua ana mkataba
 
Hahahah!! Hii drama timu A na timu B.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Uongozi wa Klabu ya Singida Black Stars umeeleza kustushwa na taarifa za Kocha wao Mkuu Hamdi Miloud Raia wa Algeria na Ufaransa kutambulishwa kama Kocha mpya wa Yanga bila kufuata utaratibu.

Singida Black Stars walimtangaza Hamdi Miloud kuwa Kocha wao mpya mwezi mmoja uliopita kwa Mkataba wa mwaka mmoja na nusu.

===

Tumepokea kwa mshituko na masikitiko makubwa taarifa ya kocha wetu Hamdi Miloud kutambulishwa na Klabu ya Yanga bila kufuata utaratibu.

Uongozi wa Klabu unalifuatilia jambo hili, tunawaomba mashabiki na wapenzi wa Singida Black Stars wawe watulivu wakati uongozi ukifanyia kazi jambo hili.

Idara ya Habari na Mawasiliano
Singida Black Stars SC


Soma, Pia
Mmoja ya wafadhili wa Singida Black Star ni GSM
 
Back
Top Bottom