Kwenye list ya changaule Yacouba na Joyce hawakuwataja, ndo walikosekana hapo.Msome vizuri utaelewa,yocuba yupo kwenye listi ya 12 na yupo kwenye list ya wanaoachwa
Nimekupata mkuuKwenye list hii Yacouba yupo wapi?View attachment 2296596
Hebu tupia akiwa ameivaa umbea ukae vizurYacouba Sogne kiherehere cha kuvaa Jezi ya Aziz Ki na kupita huku na kule kimemuisha kabisa yaani.
Kwa maamuzi haya ya klabu, yamkini hatakaa aje asahau.
Lakini waandishi uchwara pamoja na mashabiki wa Simba mkadai kuwa Aziz K katoa masharti kuwa ili asajiliwe Yanga, basi lazima Yacouba abakie Yanga. Sasa inqkuaje tena?Tembelea YouTube kajionee vilivyo wakati Yacouba anaingia Benjamin Mkapa.
Huku akiwa amevaa Jezi ya Azizi Ki
Wachezaji wako hata huwajui mbona hujaweka Joyce na youkub1) Diarra
2) Bangala
3) Aucho
4) Chico
5) Makambo
6) Mayele
7) Moloko
8) Morrison
9) Kambole
10 Birigimana
11) Aziz k
12 Djuma Shaban
Wa 14 wakina nani au wanasajili wengine?