Mimi sasa hivi ningekuwa mfungwa , kuna siku moja jirani yangu wakike alinigongea mlango usiku na kanga moja tu matako tepetepe, nikatoka ananiambia anaomba charger ya simu ili akabust simu yake basi nikampatia kisha bila mimi kutarajia nikamshika shika yale matako yake kama vile nichagua maparachichi sana kisha akaondoka baada ya hapo kilichotokea sisemi