rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Simba ndio TFF?Simba ndo mwenye maamuzi ya ligi kuu hao wengine ni vikaragosi
Nilidhani EPL kumbe ni vplHii habari ilianza kama utani baada ya baadhi ya mashabiki ambao walishakata tamaa ya ubingwa kwa timu zao kuja na wazo kama hilo lakini sasa ni rasmi baadhi ya vilabu vya ligi kuuu vikiongozwa na yanga vinapendekeza matokeo ya ligi kuu ifutwe kama lilivyoeleza gazeti la mwanaspoti.Kiongozi wa yanga aliyetoa mapendekezo hayo ni Mwakalebela huku viongozi wa timu nyingine ikiwamo Lipuli ya Iringa, na Mbeya city wakiwa na mawazo yanayofana na hayo
chanzo ni gazeti la mwanaspoti
Yes yupo Karia pale au wewe hujui alafu club inaoongoza ligi kwa point kibwena
Simba ndo mwenye maamuzi ya ligi kuu hao wengine ni vikaragosi
Simba ndo mwenye maamuzi ya ligi kuu hao wengine ni vikaragosi
Uko sahihi kabisa..hujakosea hata kidogo...Simba ndiyo mwenye maamuzi ya mwisho...inaamua pia refa gani achezeshe mechi zake....inaamua pia kuhusu ratiba ya ligi...maneno yakizidi kuwa inapendelewa in uwezo pia wa kuelekeza marefa waboronge kwenye mechi za wapinzani wake I'll ionekane anayependelewa siyo Simba peke yake...marefa wanaokubali wanalipwa malipo kipindi chote walichofungiwa...Simba inaweza pia kusambazs video mitandaoni kuhusu wachezsji wa timu pinzani wakilalamika kuhusu msdai kwa kiongozi...Simba ndo mwenye maamuzi ya ligi kuu hao wengine ni vikaragosi
Nasikia mikia wana jina jipya kitaa NYERO FCAma kweli huu ni UTOPOLO.
Yani makamu mw/kiti amekuwa muimba taarabu kama Leyla Rashid?
UTOPOLOOOOOOOOOHHHHHH
Usiwe mvivu wa kufikiria ndg [emoji38] ,Mwakalibela anacheza na akili za mashabiki wa Yanga,ya kutafuta huruma.Hii habari ilianza kama utani baada ya baadhi ya mashabiki ambao walishakata tamaa ya ubingwa kwa timu zao kuja na wazo kama hilo lakini sasa ni rasmi baadhi ya vilabu vya ligi kuuu vikiongozwa na yanga vinapendekeza matokeo ya ligi kuu ifutwe kama lilivyoeleza gazeti la mwanaspoti.Kiongozi wa yanga aliyetoa mapendekezo hayo ni Mwakalebela huku viongozi wa timu nyingine ikiwamo Lipuli ya Iringa, na Mbeya city wakiwa na mawazo yanayofana na hayo
chanzo ni gazeti la mwanaspoti