Yanga wanadai Morison ni mchezaji wao wamemtambulisha kwenye tamasha lao ns pia wanadai wataenda hadi cas cha ajabu hawajamlipia ada tff ya milioni 4 kama kanuni zinavyotaka.
Kama kweli mchezaji wao mbona wanashindwa kumlipia milioni 4 ndio wataweza kulipia gharama za cas ambazo ni milioni 40 kwa jaji mmoja hii inaonyesha mashabiki wa utopolo walivyo wajinga.