Klabu zilizosajili wachezaji, kocha wa kigeni zatakiwa kuwasilisha vibali vya waajiriwa hao Uhamiaji

Klabu zilizosajili wachezaji, kocha wa kigeni zatakiwa kuwasilisha vibali vya waajiriwa hao Uhamiaji

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
1599051993149.png
 
Yanga wamemuombea kibali Morrison?
 
Yanga wanadai Morison ni mchezaji wao wamemtambulisha kwenye tamasha lao ns pia wanadai wataenda hadi cas cha ajabu hawajamlipia ada tff ya milioni 4 kama kanuni zinavyotaka.
Kama kweli mchezaji wao mbona wanashindwa kumlipia milioni 4 ndio wataweza kulipia gharama za cas ambazo ni milioni 40 kwa jaji mmoja hii inaonyesha mashabiki wa utopolo walivyo wajinga.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom