Kliniki ya HIV

Kliniki ya HIV

Wapendwa ndugu zangu nawashukuru wote mliochangia kuweza kunisaidia. Jumatatu niliweza kufika Amref na kupatiwa huduma zote. Bi. Nyakomba nakushukuru kipekee. Mungu awabariki wote mliochangia.
 
Wapendwa ndugu zangu nawashukuru wote mliochangia kuweza kunisaidia. Jumatatu niliweza kufika Amref na kupatiwa huduma zote. Bi. Nyakomba nakushukuru kipekee. Mungu awabariki wote mliochangia.

Tunashukuru kwa mrejesho, kila la kheri.
 
Kuna clinic ipo karibu na traffick makao makuu...inaitwa IDC.....ukifika mitaa ya stesheni ulizia traffic makao makuu ukiwa hapo traffic ulizia kituo cha afya ni jirani kabisa...kwa nini uende private kulipia wakati dawa ni bure....nilikua mfanyakazi wa kituo hicho ila nimeondoka....but najua utapata huduma uwe na kadi yako tu.
wanatoa dawa za TB?
 
Back
Top Bottom