Kliniki Ya Walimu Na Samia kushughulikia kero za walimu Arusha

Kliniki Ya Walimu Na Samia kushughulikia kero za walimu Arusha

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Walimu na Wastaafu Wenye Kero Mbalimbali wamejitokeza Kliniki Ya Walimu Na Samia Mkoani Arusha Kusikilizwa Na Kikosi KAZI Kutatua Kero zao

Kliniki hiyo inaratibiwa na chama cha walimu Tanzania (CWT) kwa kushirikiana na ofisi ya Rais utumishi, Tamisemi na tume ya utumishi wa walimu nchini
1741614602645.png
1741614666483.png
1741614645339.png
1741614625491.png
 
Hata sisi Maafisa Forodha(Customs Officers) tunahitaji hio kliniki.
 
Hii nchi ina ujinga mwingi sana.
Mwaka huu tu taasisi zenye jina la Samia ziko zaidi ya mia
 
Back
Top Bottom