The Watchman JF-Expert Member Joined Nov 7, 2023 Posts 896 Reaction score 1,427 Mar 10, 2025 #1 Walimu na Wastaafu Wenye Kero Mbalimbali wamejitokeza Kliniki Ya Walimu Na Samia Mkoani Arusha Kusikilizwa Na Kikosi KAZI Kutatua Kero zao Kliniki hiyo inaratibiwa na chama cha walimu Tanzania (CWT) kwa kushirikiana na ofisi ya Rais utumishi, Tamisemi na tume ya utumishi wa walimu nchini
Walimu na Wastaafu Wenye Kero Mbalimbali wamejitokeza Kliniki Ya Walimu Na Samia Mkoani Arusha Kusikilizwa Na Kikosi KAZI Kutatua Kero zao Kliniki hiyo inaratibiwa na chama cha walimu Tanzania (CWT) kwa kushirikiana na ofisi ya Rais utumishi, Tamisemi na tume ya utumishi wa walimu nchini
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Mar 10, 2025 #2 Sawa sawa
tamuuuuu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 21,329 Reaction score 28,063 Mar 10, 2025 #3 Hovyo tu,hao CWT ni wezi wa walimu hawapo kumtetea mwalimu
Anastasia21 JF-Expert Member Joined Jul 27, 2023 Posts 1,056 Reaction score 2,118 Mar 10, 2025 #4 😹😹😹
Aiylan wasalan JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 730 Reaction score 1,478 Mar 10, 2025 #5 Hao nao wanalipwa?! I mean hyo klinik ya walimu.
Madihani JF-Expert Member Joined Apr 30, 2015 Posts 6,154 Reaction score 7,083 Mar 10, 2025 #6 Hata sisi Maafisa Forodha(Customs Officers) tunahitaji hio kliniki.
Mwamuzi wa Tanzania JF-Expert Member Joined Apr 7, 2020 Posts 15,486 Reaction score 45,256 Mar 10, 2025 #7 Hii nchi ina ujinga mwingi sana. Mwaka huu tu taasisi zenye jina la Samia ziko zaidi ya mia