Ni sawa na kusema Dar Express bonge la basi, KLM ni shirika na siyo aina ya ndege, Bonge la ndege ulipaswa kutaja aina ya ndege uliopanda inayoendeshwa na Shirika la klm kama ni Air Bus (type gani), Boeing type gani nk. got it ?
Mzee Mbona una complicate maisha? Wasomi bana….wewe unadhani mwenzako yupo sophisticated kama wewe kwenye haya mambo ya ndege? Jamaa anajua alipanda KLM. Hizi mbwembwe za Airbus siu
Jui Boeing zinatoka wapi?