James Hadley
Member
- Nov 5, 2021
- 36
- 29
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema wakiona hii, lazima wajumlishe na kwenye katiba mpya
Ukoloni mpya unarudi katika njia mbalimbali; hii ni mojawapo.Wapuuzi Hawa walitumika ili kuua utalii wa nchi yetu
Aiiiseeee!Nitaiamini vipi hii taarifa ya wakosefu kuombewa msamaha tena na serikali yetu?!
Ila kama ni kweli, aisee tuna safari ndefu sana!.
Tuliwapiga klm mkwara ili waombe radhi lakini wakameza jiwe. Sasa tumeona tuandike sisi kwamba wao wanetuomba msamaha, halafu tuone kama wana jeuri ya kukanusha.Leteni hiyo apology statement!
Hivi nikikukosea, wewe ndio unawaambia watu nimeomba radhi au mimi ndio naomba radhi kisha wewe ikufikie?
Nahisi sielewi kitu hapa….
Ukoloni mpya unarudi katika njia mbalimbali; hii ni mojawapo.
Hawa wazungu wanahangaika sana siku hizi, hasa wanapoona njia zao za kuwatawala wengine zinaendelea kufifia. Wanatapatapa sana siku hizi.