Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Katika vitu vya kipuuzi kushuhudia pale Anfield ni usajili wa Melo Kutoka Juventus kuja Liverpool ili aokoe jahazi
Lakini matokeo yake hajacheza mechi hata moja Kama sijakosea na mwezi July anarud alikotoka
KLOPP inaonekana kocha mwenye kiburi asiyeshaurika kabisa
Kifupi MELO alikuja Liverpool kula Bata na muda wake wa kula Bata umefika Mwisho anarud kwao
Unamsajil mchezaj mgonjwa ili umtibie wewe inaonekana timu yetu n timu yenye huruma Sana tumemtibia melo kwa upendo
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini matokeo yake hajacheza mechi hata moja Kama sijakosea na mwezi July anarud alikotoka
KLOPP inaonekana kocha mwenye kiburi asiyeshaurika kabisa
Kifupi MELO alikuja Liverpool kula Bata na muda wake wa kula Bata umefika Mwisho anarud kwao
Unamsajil mchezaj mgonjwa ili umtibie wewe inaonekana timu yetu n timu yenye huruma Sana tumemtibia melo kwa upendo
Sent using Jamii Forums mobile app