Klopp na Liverpool ni moto wa mabua, utazimika hivi karibuni

Klopp na Liverpool ni moto wa mabua, utazimika hivi karibuni

Endeleeni kuamini ubingwa ni wa Man City tu!!! Salah ameshaumia ORIGI ni kilaza mnakumbuka gem ya Man U? Alicheza hovyo!!!
Jamaa una teseka na Liverpool!!!!
Ushageuka mchawi unaombea watu waumie ..hahaaa
 
Salah hajaumia kwa kushindwa kucheza mechi muhimu, kama ulikuwa haujui kaumia toka mechi ya Liverpool na Leicester City, ile faul mbaya aliyochezewa na Hamza Choudri lakini ameendelea kucheza mechi karibu zote zilizo fuata.
It was just minor injury, call it just a niggling pain.

Watch out Xherdan Shaqiri is coming for you, to rub some salt on your wounds and inflict pain.
 
Una jisahahulisha msimu uliopita wakati Liverpool wanakaribia kuchukua ubingwa wa EPL na wakachukua UCL wachezaji muhimu akina Salah na Firmino walikuwa majeruhi, kazi wakaifanya akina Origi a.k.a 'Div Og'.

Liverpool sio ya kutegemea individual players, it's a squad team, squad players are the one who rise up to big occasions when no body expects them.

Msome hapa Pep Guardiola anasema
“When you sit back and defence in the box they open up with Alexander-Arnold and Robertson, and start to make crosses,” he said.

When they arrive with not just Mane, Salah, Firmino, [but] Henderson with the right tempo, Wijnaldum and the second balls, it’s almost impossible to live with that situation."

“When you are able to get back from that position they have an incredible [defence]."

“And when you are attacking, like we tried, every mistake you can do, transitions are the biggest quality of Jurgen from all of his career, in these types of situation, like the second goal."

“You decide before you play, do you stand 90 minutes back there, waiting [for] crosses, crosses, crosses, for one counter-attack, two counter-attacks if you are lucky, or try to play the game, create chances, like we created today?"
 
Mkuu, ndio maana wamefuta uzi wako wa Lecister City
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Humu ndani ukionekana una go against Liverpool basi wanafuta uzi wako mpaka nashangaa

Mwisho, kabisa unayosema inawezakuwa kweli koz mwaka jana walikuwa hapa ,ila ubingwa waliusikia tu kwenye bomba.View attachment 1265596
Msome Guardiola hapa
“They are so good. They are maybe—no, not maybe, I’m pretty sure—the best team in the world running offensive-defensive transitions. They’re built for that, created for that.”
Subirini mwezi wa tano, muandae na kamba kabisa ya kujinyongea Liverpool akichukua Ubingwa wa EPL, sijui itakuwaje wakishinda bila kupoteza mechi au wakichukua back-to-back UCL.
 
Msome Guardiola hapa
“They are so good. They are maybe—no, not maybe, I’m pretty sure—the best team in the world running offensive-defensive transitions. They’re built for that, created for that.”
Subirini mwezi wa tano, muandae na kamba kabisa ya kujinyongea Liverpool akichukua Ubingwa wa EPL, sijui itakuwaje wakishinda bila kupoteza mechi au wakichukua back-to-back UCL.
Napoli anakuja kuwaweka hapo unfield subili ty

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
What a nonsense wewe uwezi kuwa mshabiki halali wa liverpool kwa jinsi unavyoteseka na mafanikio ya the Reds
M-mbabe no pretenders here!!i've been a kopite since my childhood!but truth to be told!klopp should adress the squad if he want to be on the front foot for two major trophies!!!dont u remembe in ucl final 2018 salah was injured and game over?lallana played with no impact at all!a true kopite should be sensitive to the weakness of his team!!!
 
Napoli huyu huyu ambaye ajashinda mechi tano zilizopita amfunge liverpool anfield. Atakula sio chini ya Tatu
Napoli anakuja kuwaweka hapo unfield subili ty

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Liverpool hajawahi kuchukua EPL alichukua ligi daraja la kwanza

Ukirudia kusoma ulichoandika unaona umejibu post yangu?

Narudia: Leicester City alichukua EPL kwa mara ya kwanza 2016, na hakuwa amechukua kabla ya hapo. Nikasema hata Liverpool anaweza kuchukua pia, haina formula ya eti ambaye hajawahi kuchukua hawezi kuchukua.
 
Napoli anakuja kuwaweka hapo unfield subili ty

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani mwaka jana wakati Liperpool anachukua UCL alikuwa hajapigwa mechi ya ugenini kwa Napoli?
The Carlo Anchelotti kashamwambia Klopp, Liverpool ikifungwa na Napoli lazima ikachukue ubingwa.
Sasa subiri Napoli anakula kichapo pale Anfield the most intimidating Cauldron.
 
Liverpool this season hawana wa kuwazuia labda tottenham chini ya Mourinho waamke tena.
Ukirudia kusoma ulichoandika unaona umejibu post yangu?

Narudia: Leicester City alichukua EPL kwa mara ya kwanza 2016, na hakuwa amechukua kabla ya hapo. Nikasema hata Liverpool anaweza kuchukua pia, haina formula ya eti ambaye hajawahi kuchukua hawezi kuchukua.
 
!klopp should adress the squad if he want to be on the front foot for two major trophies!
What major trophies are you talking about?
Because the unbearable are already at the helm, say it on the front foot.
Leading Premiership league by 8 points and 9 points above our most likely challenger.
Leading in our UCL group, one leg through 16 teams knock out stages.
We are in Carabao Cup, FA cup, FIFA Club World Cup,....

The Old Big Ears is already in our trophy cabinet, so what major trophies are you talking about?
UEFA Super cup in the cabinet too.

You ain't a Kopite.
You are just a sore loser, probably Blue Moon (Man City) plastic fan, Manure FC, Arsenal, or Chelsea fan.
We the Kopites have nothing to complain about The Boss, Klopp,
If the Boss says no new signing then no new signing. Whatever he says we are Ok with it.
 
Mwanzo wa msimu mlisema kikosi sio kipana asajili wachezaji wapya, yeye kasema hapa na sasa waliopo wanaongoza kila ligi.
Mlisema mid field ya Liverpool sio creative haisaidii kufunga magoli na sasa hadi Henderson na Lallana wanafunga, achana na Fabinho, Gini na Ox, Full backs wote wanapiga magoli pia.
center backs wanafunga, sema kitu kingine mkuu.
 
Liverpool hapawahi beba epl. Labda huu ndio uwe msimu wake wa kwanza...
 
Kuna uzi nimepost sasa hivi kuhusu Brendan Rogers pale Leicester !nashangaa umepotea tu baada ya kupost kama mara tatu hv!moderators muwe makini tunapoteza nguvu zetu na kutukatisha tamaa!
Ceo wa jf ni mnazi wa Chelsea.Kajisikia vibaya unavyompa credit B Rogers kuliko F Lampard
 
Back
Top Bottom