DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,229
- 1,950
Title ina KCMCNBC Premier League leo ljumaa. Saa 10:00 jioni KMC watakuwa uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Tabora kuwaalika machampion watetezi Simba SC.
Simba Leo Wahitaji kushinda huu Mchezo kwa Hali na Mali, Kujiweka Sehemu nzuri na Mpinzani Wake mkubwa Yanga Ambaye Tarehe 26 atacheza na Biashara United. Simba mara ya mwisho ilicheza tarehe 11 Uwanja wa Mkapa, imekaa siku 14 sasa bila kucheza na Wanaenda kukutana na KMC katika Uwanja Ambao Sio Mzuri kivile.
Je, ni KMC ama Mnyama nani kuondoka na alama tatu?..Kandanda hili litakuwa LIVE HAPA kwa Dk 90 kuanzia Saa Kumi Jioni Ya Leo
[emoji23][emoji1787]Kuna mchezajinwa KMC ana mbio sana, baada ya mpira kuisha nitamuomba kocha aniazime huyu mchezaji nimpe kazi ya kunikimbizia jogoo kwa ajili ya kesho
Bwege tu yuleKuna mchezajinwa KMC ana mbio sana, baada ya mpira kuisha nitamuomba kocha aniazime huyu mchezaji nimpe kazi ya kunikimbizia jogoo kwa ajili ya kesho
Anamzidi Nchimbi?Kuna mchezajinwa KMC ana mbio sana, baada ya mpira kuisha nitamuomba kocha aniazime huyu mchezaji nimpe kazi ya kunikimbizia jogoo kwa ajili ya kesho
nitajifikiria mkuuUmefuta kauli yako?
Pablo anachukizwa na namba referee msaidizi anavyofanya mabadiliko.
Mpaka ameghairisha Sub ya Wawa
Hahahahaa mkaamua mtulete tabora
Haikuwa makusudiAkina Matola Walitaka Kumzunguka Pablo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yaani Matola na Hitimana Simba Waondokeeee
hili ni tatizo aiseeAkina Matola Walitaka Kumzunguka Pablo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yaani Matola na Hitimana Simba Waondokeeee