KMC 1-4 Simba | Tabora| Ligi kuu ya NBC

KMC 1-4 Simba | Tabora| Ligi kuu ya NBC

NBC Premier League leo ljumaa. Saa 10:00 jioni KMC watakuwa uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Tabora kuwaalika machampion watetezi Simba SC.

Simba Leo Wahitaji kushinda huu Mchezo kwa Hali na Mali, Kujiweka Sehemu nzuri na Mpinzani Wake mkubwa Yanga Ambaye Tarehe 26 atacheza na Biashara United. Simba mara ya mwisho ilicheza tarehe 11 Uwanja wa Mkapa, imekaa siku 14 sasa bila kucheza na Wanaenda kukutana na KMC katika Uwanja Ambao Sio Mzuri kivile.


Je, ni KMC ama Mnyama nani kuondoka na alama tatu?..Kandanda hili litakuwa LIVE HAPA kwa Dk 90 kuanzia Saa Kumi Jioni Ya Leo
Title ina KCMC
 
Mechi ingeisha tuanze shamra shamra za mkesha wa christmas
 
Kuna mchezajinwa KMC ana mbio sana, baada ya mpira kuisha nitamuomba kocha aniazime huyu mchezaji nimpe kazi ya kunikimbizia jogoo kwa ajili ya kesho
Bwege tu yule
 
Sidhani kama manula anauwezo wa kibinadamu kwenye ile mikono, ipo haja ya kuunda tume kwa ajili ya kuchunguza ile mikono
 
Pablo anachukizwa na namba referee msaidizi anavyofanya mabadiliko.

Mpaka ameghairisha Sub ya Wawa
 
Walitambua watafungwa. Sasa haiwezekani wafungwe na pesa ya kiingilio wakose ikiwa mechi ingepigwa Dar. Sasa wakaona isiwe taabu. Twende zetu Tabora tukajikusanyie pesa ndefu wao Simba acha wachukue tu point 3 na magoli yote

Hahahahaa mkaamua mtulete tabora
 
Daaah wawa kakataliwa live live so saad
 
Azam TV acheni uchonganishi na focus kwenye kuonyesha mpira sio kazi yenu hayo ni maswala binafsi tuachieni wenye timu
 
Utopolo wakiongozwa na Manara wamepata topic ya kujadili

Leo hawatajadili ushindi ni ile clip ya Pablo na Wawa
 
Back
Top Bottom