KMC 1 Vs 2 AS Kigali; KMC yaondolewa mashindano ya CAF

Dkk '90+ 3
zinaongezwa dakika 3 hapa kukamilisha mchezo.
 
Boniface Maganga na benchi la ufundi ndiyo wameinyima ushindi KMC
 
FULL TIME
KMC 1-2 AS KIGALI
Vijana wa kinondoni KMC wameaga mashindano kwa kipigo wakiwa nyumbani Dar es salaam
Asante
 
Kama Kuwabeba Tuliwabeba Mkapata Nafac Ya Kushiriki! Sasa Mjibebe Wenyewe! Au Kisichoridhiki Hakiliki? Mbona Wakubebwa Wote Gongong'waje Na Kmc Mnaharibu Nyumbani? Kmc Komaeni Mlianza Vizur Ugenin Mnataka Kumaliza Vibaya Nyumban
Sawa Mzee Kilomoni tumekusikia.
 
Huyu beki namba 2 Boniface Maganga bure kabisa,,,beki unapata nafasi ya kupiga cross zaidi ya saba na zote unapaisha nje.
 
Kama Kuwabeba Tuliwabeba Mkapata Nafac Ya Kushiriki! Sasa Mjibebe Wenyewe! Au Kisichoridhiki Hakiliki? Mbona Wakubebwa Wote Gongong'waje Na Kmc Mnaharibu Nyumbani? Kmc Komaeni Mlianza Vizur Ugenin Mnataka Kumaliza Vibaya Nyumban
Na Mikia fc anza kutia maji, jiandaeni kisaikolojia, msichokiamini kinakuja kutokea.
 

Hofu yangu ni matokeo kama haya kuwapata Simba Jumapili.....We are Simba...sisi ndio mabingwa miaka 10 mfululizo...back to bak...
 
Kmc ya nderagijeee na hii ya mayanja ni tofauti kabisa.
Coach angekuwa nderagije wangepita,
Angefanya sub ya maana
Kweli.. hawa KMC wanamaingizo mapya ya wachezaji hadi kocha ni mpya.
Wamecheza hawajatulia kabisa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…