Bin Faza
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 502
- 191
Many outsiders love to thing that Africa as a Continent did not contribute much in world development, maybe we dont agree with that.
However, Africa had a great contribution of DICTATORS, WE WERE NOT LEFT BEHIND WHEN IT CAME TO DICTATORSHIP. so Africa had its fair share for dictators who came in and out usually started immediately after Independence
We had very colourful dictators, some of them killing their people in tons, some of them making themselves presidents for lives, some oft hem introduces elections but with one man candidate, some of them taking entire country economy into their names and some taking all economy helping their religious groups
But almost all of them had something in common, banned political parties and gave many speeches as if they had factories at their back yard for manufacturing words and empty promises
These dictators are almost forgotten today, because we African are forgetful and easy going.
Here are few of them
View attachment 99965View attachment 99965
Huyu ni Macias Nguema [FONT=Helvetica Neue, Helvetica, Arial, sans-serif]alitawala kuanzia 1968 huko [/FONT]Equatoria Guinea, wengi wanamwita huyu kwa jina la utani la POL POT wa Africa kwasababu mauwaji yake ni sawa na Iddi Amin Plus Bokkasa combined. Kama madikteta wanapewa madali basi Macias Nguema angepata Nobel Prize
View attachment 99966 View attachment 99967
[FONT=Helvetica Neue, Helvetica, Arial, sans-serif]Huyu ni Jean-Bedel Bokassa. Alikuwa ni raisi wa maisha na self claimed Emperor wa Central Africa Republic. Kuanzia 1966 hadi 1979. Huyu naye alivinja redoko ya mauwaji huko
[/FONT]
View attachment 99969

Huyu Ni Field Marshal Iddi Amin Dada, alichukuwa madara kutoka kwa Milton Obote 1971 hadi 1979
Na yeye alistahiki sifa mbaya za udikteta. Kitendo kikubwa kilowakera zangu ni kutaka abebwe na wazungu kama wao walivokuwa wakibebwa na waafrika hapo Uganda, pamoja ana mkasa wa Entebe airport 1976
View attachment 99970 View attachment 99971
Huyu ni Dr. Hasting Kamuzu Banda, wa mawali, na yeye akawafanya wamalawi wote wajinga na kujitangaza kuwa raisi wa maisha huko.
View attachment 99974 View attachment 99975
Huyu ni Dikteta Mabutu Sese Seko, na yeye alikuwa ni dikteta wa kupigiwa mfano huko Zaire. Alitawala 1965 hadi 1997. Mali ya Zaire yote ilikuwa kwa jina lake, na yeye akawafanya wazaire wajinga lakini wazungu walimpenda hususan Wabelgium na USA. Belgium tunajua kwa sababu gani, soko kubwa la Diamond duniani lipo Antwerp Belgium, huko ndiko kunakowekwa bei za alsmasi na kila almsi inayochimuliwa diniani na kuingia katika world market ni lazima ipite katika mikono ya wayahudi wanaoendesha biashara hiyo hapo na ndio maana USA wakampenda Mabutu.
View attachment 99976 View attachment 99977
Huyu ni Dikteta, General Yakubu Gowon. Musibabaishwe na jina alikuwa ni yeye ni Catholic (huu si udini lakini nikwa information zaidi tu). Huyu ndie aliendesha infamous war kule Biafra. Alikuwa ni dikteta wa aina yake 1966 hadi 1975

Huyu ni Dikteta Robert Mugabe, hamu yake ni kwamba afe madarakani. Ni Raisi wa Maisha ya Zimbabwe ingawaje anafanya elections za mchezo wa kuigiza huko. 1975 to date

Huyu ni Julius Kambarage Nyerere, alikuwa dikteta wa Tanzaia. 1961 hadi alipojiuzulu 1985. Alikuwa ni raisi wa kudumu wa Tanznaia, ingawaje akiendesha elections lakini za one man show. Hakuwa mwizi wala hakuishi maisha ya fakhari isipokuwa pesa za nchi alizipeleka VATICAN. Mchango wa Tanzania kwa kanisa Roman Catholic hautajwi lakini ulikuwa nimkubwa sana. Mchango huo uliendelea hadi majuzi tu alipokuja Kiketwe madarakani, aliposema na dini nyengine wapewe pesa za serikali. lakini mali aloikusanya Nyerere katika wizi wa azimio la arusha nyingi zaidi iliishia vatican
Kama Mabutu, wazungu walimpenda kwa sababu wanazizijuwa wao.

Huyu ni Mangestu Haile mariam, wa ethiopia na yeye hakuwa nyuma katika kuendeleza udikteta barani afrika. alichukuwa madaraka 1974 hadi 1987.aliingiza ethiopia katika ukomunist na kuwapa shida sana raia zake.

Huyu ni Dikteta Ahmed Sokou Toure wa Guinea ametawala kuanizia 1958 hadi 1984. Alikua ni raisi wa maisha wa Guinea na kama kawaida ya viongozi wa kiafrika waliopewa madaraka baada ya uhuru, aliwafanya raia zake wajinga kumpa yeye uraisi. Na yeye kama nyerere alikuwa akifanya elections lakini mgombea ni yeye tu, na alivifunga vyama vyote vya siasa nchini kwake. na yeye alikuwa hodari sana wa kutowa hotuba kwa raia.
However, Africa had a great contribution of DICTATORS, WE WERE NOT LEFT BEHIND WHEN IT CAME TO DICTATORSHIP. so Africa had its fair share for dictators who came in and out usually started immediately after Independence
We had very colourful dictators, some of them killing their people in tons, some of them making themselves presidents for lives, some oft hem introduces elections but with one man candidate, some of them taking entire country economy into their names and some taking all economy helping their religious groups
But almost all of them had something in common, banned political parties and gave many speeches as if they had factories at their back yard for manufacturing words and empty promises
These dictators are almost forgotten today, because we African are forgetful and easy going.
Here are few of them
View attachment 99965View attachment 99965
Huyu ni Macias Nguema [FONT=Helvetica Neue, Helvetica, Arial, sans-serif]alitawala kuanzia 1968 huko [/FONT]Equatoria Guinea, wengi wanamwita huyu kwa jina la utani la POL POT wa Africa kwasababu mauwaji yake ni sawa na Iddi Amin Plus Bokkasa combined. Kama madikteta wanapewa madali basi Macias Nguema angepata Nobel Prize
View attachment 99966 View attachment 99967
[FONT=Helvetica Neue, Helvetica, Arial, sans-serif]Huyu ni Jean-Bedel Bokassa. Alikuwa ni raisi wa maisha na self claimed Emperor wa Central Africa Republic. Kuanzia 1966 hadi 1979. Huyu naye alivinja redoko ya mauwaji huko
[/FONT]
View attachment 99969
Huyu Ni Field Marshal Iddi Amin Dada, alichukuwa madara kutoka kwa Milton Obote 1971 hadi 1979
Na yeye alistahiki sifa mbaya za udikteta. Kitendo kikubwa kilowakera zangu ni kutaka abebwe na wazungu kama wao walivokuwa wakibebwa na waafrika hapo Uganda, pamoja ana mkasa wa Entebe airport 1976
View attachment 99970 View attachment 99971
Huyu ni Dr. Hasting Kamuzu Banda, wa mawali, na yeye akawafanya wamalawi wote wajinga na kujitangaza kuwa raisi wa maisha huko.
View attachment 99974 View attachment 99975
Huyu ni Dikteta Mabutu Sese Seko, na yeye alikuwa ni dikteta wa kupigiwa mfano huko Zaire. Alitawala 1965 hadi 1997. Mali ya Zaire yote ilikuwa kwa jina lake, na yeye akawafanya wazaire wajinga lakini wazungu walimpenda hususan Wabelgium na USA. Belgium tunajua kwa sababu gani, soko kubwa la Diamond duniani lipo Antwerp Belgium, huko ndiko kunakowekwa bei za alsmasi na kila almsi inayochimuliwa diniani na kuingia katika world market ni lazima ipite katika mikono ya wayahudi wanaoendesha biashara hiyo hapo na ndio maana USA wakampenda Mabutu.
View attachment 99976 View attachment 99977
Huyu ni Dikteta, General Yakubu Gowon. Musibabaishwe na jina alikuwa ni yeye ni Catholic (huu si udini lakini nikwa information zaidi tu). Huyu ndie aliendesha infamous war kule Biafra. Alikuwa ni dikteta wa aina yake 1966 hadi 1975

Huyu ni Dikteta Robert Mugabe, hamu yake ni kwamba afe madarakani. Ni Raisi wa Maisha ya Zimbabwe ingawaje anafanya elections za mchezo wa kuigiza huko. 1975 to date

Huyu ni Julius Kambarage Nyerere, alikuwa dikteta wa Tanzaia. 1961 hadi alipojiuzulu 1985. Alikuwa ni raisi wa kudumu wa Tanznaia, ingawaje akiendesha elections lakini za one man show. Hakuwa mwizi wala hakuishi maisha ya fakhari isipokuwa pesa za nchi alizipeleka VATICAN. Mchango wa Tanzania kwa kanisa Roman Catholic hautajwi lakini ulikuwa nimkubwa sana. Mchango huo uliendelea hadi majuzi tu alipokuja Kiketwe madarakani, aliposema na dini nyengine wapewe pesa za serikali. lakini mali aloikusanya Nyerere katika wizi wa azimio la arusha nyingi zaidi iliishia vatican
Kama Mabutu, wazungu walimpenda kwa sababu wanazizijuwa wao.

Huyu ni Mangestu Haile mariam, wa ethiopia na yeye hakuwa nyuma katika kuendeleza udikteta barani afrika. alichukuwa madaraka 1974 hadi 1987.aliingiza ethiopia katika ukomunist na kuwapa shida sana raia zake.

Huyu ni Dikteta Ahmed Sokou Toure wa Guinea ametawala kuanizia 1958 hadi 1984. Alikua ni raisi wa maisha wa Guinea na kama kawaida ya viongozi wa kiafrika waliopewa madaraka baada ya uhuru, aliwafanya raia zake wajinga kumpa yeye uraisi. Na yeye kama nyerere alikuwa akifanya elections lakini mgombea ni yeye tu, na alivifunga vyama vyote vya siasa nchini kwake. na yeye alikuwa hodari sana wa kutowa hotuba kwa raia.