Cestus
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 987
- 132
Hiki kitu kilinifanya niwe na shauku ya kuingia jamvini leo na kuuliza....kuna mtu kamchakachulia bro wangu modem yake ya zantel...yaani ni anatumia internet bure bila kurecharge wala nini! Anatumia profile ya @zantel.com. Mwenye knowledge ya kufanya utundu huu naomba atupe ujanja huo na sisi...