Kobe Bryant dies in a plane crash

Huyu ni mmoja wa kizazi kilicho fata baada ya wale nguli kina Jordan Karl malone na nduguye moses bila kumsahau sir Charles barkley hakeem olojuwon magic Johnson Larry bird Patrick ewing duh kifo tunatembea nacho
Mbona unamuacha Denis Roadman!
 
Sijawahi kuona picha ya huyu jamaa akiwa amenuna yyte aliyenayo pls naomba....
kuna watu wamebalikiwa tabasamu..
 
Uchunguzi unaendelea. Kuna uwezekano haya kupangwa na watu flani flani hivi. RIP kobe.
 
Labda alikuwa Role Model wako kwenye issue ya kwenda chooni kujisaidia haja kubwa. Kinyume na hapo jamaa hakuwa mdini, mnyenyekuvu, mpole.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

= kukariri


Hahahaha ha Yesu na Kihebrania wapi na wapi? Wewe hata lugha ya Yesu huifahamuṇi ipi. Pole sana.

WWewe unajuwa kusoma kihebrania au mradi ubandike kopi tu hapa? Waislam wanaisoma Qur’an kama ilivyo.

Hayo ya miaka nakuachia wewe kwani nakuona huna point yoyote unatafuta pakutokea.

Ni vyema umekiri kuwa kuwa hamna vichwa vya ku "memorize" biblia.

Na hamtoweza. Hayo tuachieni sisi tuliopewa uwezo huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…